Umeoa/umeolewa/utaoa/utaolewa nini kitakusukuma/kilikusukuma kufanya hivyo?
kwa imani yangu mimi(uislam)unasema wazi kabisa mtu anayekidh vigezo vya kuoa aoe,,,,kuoa ni kukamilisha dini,ibada ya alooa na asooa ni tofauti kabisa,ila unapaswa kuoa iwapo tu utakua na uwezo wa kumvisha,kumlisha na kumpa mahala pa kulala mkeo,,,,usioe wakat huna uwezo huo,usije ukampa shida mkeo,,,,,,,SO KUOA NI IBADA KAMA SALA AU FUNGA YA RAMADHAN,KWA WAISLAM(nimechangia kama mwanaume ambae anapaswa kuoa na si mwanamke ambae anaolewa