Ninge penda kujua kuwa kweli condom ina zuia ukimwi?

Justin Dimee

JF-Expert Member
Apr 17, 2012
1,146
248
Huwa tuna shauriwa sana na watu mbali mbali napia ni vizuri pia kutambua umuhimu wa condom kuwa ni kweli ina zuia ma ambukizi ya (v.v.u) ninge penda ni jue kama kweli au sikweli
kuna ubishi hapa ulikuwa unaendelea na marafiki zangu nimeona nami nije kuwa uliza humu jamvini kwa sababu mjadala ume isha kila mtu ana amini ki vyake vp na humu jf mna semaje? wana jamii.
 
Mmh ina maana iipost hamja iona au ndo vile kuzarau post za wengine mmh haya bana haina shda.
 
Huwa tuna shauriwa sana na watu mbali mbali napia ni vizuri pia kutambua umuhimu wa condom kuwa ni kweli ina zuia ma ambukizi ya (v.v.u) ninge penda ni jue kama kweli au sikweli
kuna ubishi hapa ulikuwa unaendelea na marafiki zangu nimeona nami nije kuwa uliza humu jamvini kwa sababu mjadala ume isha kila mtu ana amini ki vyake vp na humu jf mna semaje? wana jamii.

Mkuu kondom ina uwezo wa kuzuia mimba kama ikitumiwa vizuri. 7bu ukitazama katika vyombo vya kimaabara,yaani darubini kama telescope au microscope inayokuza moja kwa kumi au kumi kwa mia,inaonyesha kwamba kondom ina matundu yenye ukubwa wa 0.08 mbegu ya kiume ina ukubwa wa 0.12 hivyo mbegu ya kiume ina ukubwa zaidi kuliko tundu la kondom hivyo haitapenya kwa hivyo uwezekano wa kupata mimba ni mdogo.

lakini,kondom si kinga ya ukimwi hata kwa dakika.7bu virus wa ukimwi mmoja ana ukubwa wa 0.03. Hivyo katika tundu la kondom lenye ukubwa wa 0.08 anapita. Na mkewe naye mwenye ukubwa huohuo jumla wanakuwa na ukubwa wa 0.06 na mtoto wao mgongoni mwenye ukubwa wa 0.02 jumla wanakuwa 0.08 hivyo huwafanya kupita kwa urahisi zaidi bila tabu yoyote wanaenda kuleana mbele ya safari na kuzaliana kwa wingi.

kwa nyongeza tu; kihistoria kwamba kondom ilikuwepo tokea vita kuu ya pili ya dunia. Na hii inatengenezwa na plastic laini na pia kondom ina mafuta kwa nje ambayo kitaalam yanaitwa jojoba oil sex. Ambayo mafuta hayo yanapogonga au yanapoingia au yanapogusa kuta za uke ynabakia. Hivyo inapotumika muda mrefu inatengeneza ngozi ngumu ktika uke kutokana na mafuta.

kitendo hicho kitapelekea mwanamke kukosa stimulation yaani msisimko,7bu hadi aanze kupata raha ya tendo,inabidi uipashe moto ile ngozi na mpaka ikipashika, mwanaume tayari utakuwa umeshapiga goli zaidi ya moja. Hivyo wakati mwenzi wako anaanza kujisikia wewe unakuwa umeshachoka,hivyo kukuona hufai lakini chanzo ni nini? Jibu ni kondom. Pia kondom kwa baadhi ya wanawake inawasababishia fangus yaani ugonjwa wa kuwashwa ukeni.
 
Mkuu kondom ina uwezo wa kuzuia mimba kama ikitumiwa vizuri. 7bu ukitazama katika vyombo vya kimaabara,yaani darubini kama telescope au microscope inayokuza moja kwa kumi au kumi kwa mia,inaonyesha kwamba kondom ina matundu yenye ukubwa wa 0.08 mbegu ya kiume ina ukubwa wa 0.12 hivyo mbegu ya kiume ina ukubwa zaidi kuliko tundu la kondom hivyo haitapenya kwa hivyo uwezekano wa kupata mimba ni mdogo.

lakini,kondom si kinga ya ukimwi hata kwa dakika.7bu virus wa ukimwi mmoja ana ukubwa wa 0.03. Hivyo katika tundu la kondom lenye ukubwa wa 0.08 anapita. Na mkewe naye mwenye ukubwa huohuo jumla wanakuwa na ukubwa wa 0.06 na mtoto wao mgongoni mwenye ukubwa wa 0.02 jumla wanakuwa 0.08 hivyo huwafanya kupita kwa urahisi zaidi bila tabu yoyote wanaenda kuleana mbele ya safari na kuzaliana kwa wingi.

kwa nyongeza tu; kihistoria kwamba kondom ilikuwepo tokea vita kuu ya pili ya dunia. Na hii inatengenezwa na plastic laini na pia kondom ina mafuta kwa nje ambayo kitaalam yanaitwa jojoba oil sex. Ambayo mafuta hayo yanapogonga au yanapoingia au yanapogusa kuta za uke ynabakia. Hivyo inapotumika muda mrefu inatengeneza ngozi ngumu ktika uke kutokana na mafuta.

kitendo hicho kitapelekea mwanamke kukosa stimulation yaani msisimko,7bu hadi aanze kupata raha ya tendo,inabidi uipashe moto ile ngozi na mpaka ikipashika, mwanaume tayari utakuwa umeshapiga goli zaidi ya moja. Hivyo wakati mwenzi wako anaanza kujisikia wewe unakuwa umeshachoka,hivyo kukuona hufai lakini chanzo ni nini? Jibu ni kondom. Pia kondom kwa baadhi ya wanawake inawasababishia fangus yaani ugonjwa wa kuwashwa ukeni.

Acha kupotosha watu,kama jambo huna uhakika nalo una haja gani ya kupost kitu kinachoweza kufanya baadhi ya watu wenye uelewa mdogo kuamini kuwa unalolisema lina ukweli!
 
Kondom zilianza kutumiwa tangu miaka ya 1800 huko Ulaya, zilitumika kuzuia mimba, hususani na makahaba. UKIMWI ulipogundulika, zikatumiwa ili kupunguza msuguano. Kwa sasa kuna baadhi ya kondom zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa mfamo Familia, ila nyingi hazizuii kitu kabisa, mfano Salama. USIAMINI KONDOMU, NYINGI ZIPO KIBIASHARA ZAIDI....
Saluhu: a) acha ngono & (b) kuwa mwaminifu
 
Kondom zilianza kutumiwa tangu miaka ya 1800 huko Ulaya, zilitumika kuzuia mimba, hususani na makahaba. UKIMWI ulipogundulika, zikatumiwa ili kupunguza msuguano. Kwa sasa kuna baadhi ya kondom zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa mfamo Familia, ila nyingi hazizuii kitu kabisa, mfano Salama. USIAMINI KONDOMU, NYINGI ZIPO KIBIASHARA ZAIDI....
Saluhu: a) acha ngono & (b) kuwa mwaminifu

Tena kila ugonjwa, na kila
pigo yasiyoandikwa katika
kitabu cha torati hii, atakutia
nayo Bwana juu yako, hata
utakapokwisha kuangamizwa.
Kumbukumbu 28:61
 
Ndio inaweza ila kama ikitumiwa vizuri,msisitizo upo kwenye kutumia vizuri pia kibongobongo angalia brand,originality etc
 
Acha kupotosha watu,kama jambo huna uhakika nalo una haja gani ya kupost kitu kinachoweza kufanya baadhi ya watu wenye uelewa mdogo kuamini kuwa unalolisema lina ukweli!

Sasa si useme ukweli wako mkuu huu ni mjadala lete hoja zako basi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom