Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 248
Huwa tuna shauriwa sana na watu mbali mbali napia ni vizuri pia kutambua umuhimu wa condom kuwa ni kweli ina zuia ma ambukizi ya (v.v.u) ninge penda ni jue kama kweli au sikweli
kuna ubishi hapa ulikuwa unaendelea na marafiki zangu nimeona nami nije kuwa uliza humu jamvini kwa sababu mjadala ume isha kila mtu ana amini ki vyake vp na humu jf mna semaje? wana jamii.
kuna ubishi hapa ulikuwa unaendelea na marafiki zangu nimeona nami nije kuwa uliza humu jamvini kwa sababu mjadala ume isha kila mtu ana amini ki vyake vp na humu jf mna semaje? wana jamii.