Ninayempenda Nisiyemjua Kanitolea Nje

Status
Not open for further replies.
Wapwaz na Binamuzi wote.

Mtakumbuka niliwahi kuanzisha masa hapa ikisomeka"nimempenda mtu nisiyemfahamu-sijawahi kumuona" niliomba ushauri na nilipata ushauri toka kwa baadhi yenu ya namna ya kumwambia..Nilikuwa nachat naye mara nyingi,kila akiwa hewani nilikuwa siachi kumsalimia na kuzungumza naye mawili matatu,kifupi ni mtu pekee humu JF niliyemzoea sana na kuweza kumwambia chochote kinachonihusu bila kumficha.Na katika kumzoea huku kukanifanya nizidi kumpenda.Baada ya kuzoeana naye Nilijikaza nikamwambia ukweli,jamaa akachomoa,nikaendelea kuvumilia na kuendelea kumsisitiza,hivi karibuni ameniambia ana mtu,nimeumia sana kwani nilkuwa najifariji huenda akawa hana mtu...Kifupi ni kwamba kanitolea nje..Nampenda..Niko njia panda sijui nifanyeje.....

Wenu katika majonzi
Gender Sensitive....

Kumbe ni weye! ahhhhh! Nilikuwa najiuliza huyu RM mbona sijawahi kumuona hapa? lakini JF kubwa ati! Hatimaye umeweka bayana jinsia yako. Haya kila la heri kwenye kinyang'anyiro.
 
Maombi yangu yalifanikiwa... alishamdiliti... sasa tumuombee apite na huo mtihani mwingine...


Ha ha ha!bado sijamdiliti.He is still in my heart.Ila Ubunge mwaka huu wangu..

WOS nawe kwanini umeileta tena hii post?
 
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!
sasa mama!imekuwaje umeamua kunianzishia sredi?!
mi nilikwambia kwamba katika umri wangu huu wa miaka 38,sio rahisi kwamba nikakosa kuwa na mtu!....

YANINI MALUMBANO MAMA!......

TEAMO TEAMO, nimecheka sana leo .. hii sredi nilikuwa sijaisoma long!!!
 
G.S...............pole kwa yaliyokukuta lakini kumbuka kulia sana ni kumkufuru MUNGU,....na pia tambua LIKUKOSALO LINA KHERI KWAKO...yawezaikawa ni Blessing in Disguise dada....................
 
Gaijin mapenzi hutokea popote na wakati wowote kama mwenzetu hayajakukuta haya ya kwenye screen kama wewe unavyodai basi mshukuru MUNGU..Wenzanko hatukuamua iwe hivyo imetokea tu kama ajali..Dunia ina mambo yake..Sio wote tunaoenda kwenye line moja kila mmoja akija hapa na kuhadithia jinsi alivyompata mwandani wake utapigwa na butwaa..Tembea au kua uyaone.
Huyo jamaa alikurupuka alikuwa hajafanya utafiti wa posho na marupurupu ya wabunge. take my word.
 
Wapwaz na Binamuzi wote.

Mtakumbuka niliwahi kuanzisha masa hapa ikisomeka"nimempenda mtu nisiyemfahamu-sijawahi kumuona" niliomba ushauri na nilipata ushauri toka kwa baadhi yenu ya namna ya kumwambia..Nilikuwa nachat naye mara nyingi,kila akiwa hewani nilikuwa siachi kumsalimia na kuzungumza naye mawili matatu,kifupi ni mtu pekee humu JF niliyemzoea sana na kuweza kumwambia chochote kinachonihusu bila kumficha.Na katika kumzoea huku kukanifanya nizidi kumpenda.Baada ya kuzoeana naye Nilijikaza nikamwambia ukweli,jamaa akachomoa,nikaendelea kuvumilia na kuendelea kumsisitiza,hivi karibuni ameniambia ana mtu,nimeumia sana kwani nilkuwa najifariji huenda akawa hana mtu...Kifupi ni kwamba kanitolea nje..Nampenda..Niko njia panda sijui nifanyeje.....

Wenu katika majonzi
Gender Sensitive....

Imagine hujamjua, try to be busy, do some jogging hapo lazima ajipige kibuti kichwani mwako mwenyewe...POLE SANA
 
you just fell off the path. wake up, clear your hands and off you go. life has more staff ahead. you aren't buried yet, are you?
 
Ha ha ha!bado sijamdiliti.He is still in my heart.Ila Ubunge mwaka huu wangu..

WOS nawe kwanini umeileta tena hii post?

RM,
Sikuwa nimeiona hii hadi mada ilipofufuliwa tena karibu mwaka mmoja later.
Nadhani sasa mmefikia muafaka na mambo ni mazuri sasa bila shaka.
Kila la kheri
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
khaaa,...hizi JF footsteps
2135646_t.jpg
zaweza tuponza/kutujenga mbele ya safari.
GS mwenyewe aliiweka hii post 29th June 2010 08:50 AM,

Leo hii July 2/2011 watu wamei- archive huko kwenye vumbi, wanaipangusa pangusa ionekane mpya.
I wonder kuna kombora gani latayarishwa atupiwe kwenye "nyumba yake ya vioo!"
 
pole dada,, kua na ustahamilivu, na jaribu kupuuza hayo mawazo kidogo kidogo nahisi iko siku utapata mwengine utaempenda aka kupenda,, jua kama m,mungu hamtupi mja wake,na mungu hawezi kumpa mja wake riski ambayo pengine itamletea matatizo mbele yake, maybe huyo sio mtu mwema kwako, utapata swali omba duaa,
 
khaaa,...hizi JF footsteps
2135646_t.jpg
zaweza tuponza/kutujenga mbele ya safari.
GS mwenyewe aliiweka hii post 29th June 2010 08:50 AM,

Leo hii July 2/2011 watu wamei- archive huko kwenye vumbi, wanaipangusa pangusa ionekane mpya.
I wonder kuna kombora gani latayarishwa atupiwe kwenye "nyumba yake ya vioo!"

Loh hata mie nimeingia mkenge bana.............afu ukitakajua ilivyokuwa master minded imewfufuliwa exactly tarehe na mwezi ilipopostiwa original yake!! Mwe!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
2b honest kuna uwezekano hujui kupenda wewe ila ni mahiri sana wa kutamani kuwa kwa mahusiano. tatizo lako ni dogo sana coz when i was a little boy by 20yrs nishafall inlove na mwanadada ambaye hatujaonana na nilimpenda kuliko kawaida bt baada ya kumeet ghafla alinitoka moyoni nikagundua kwamba wakati hatujaonana nilimjengea picha nzuri kichwani mwangu iliyojumuisha vitu vyote vizuri ninavyovipenda kwa mwanamke vikiwemo umbo,urembo,pozi nzuri, msafi yani anang'aa....... ishu ni pale nilipomuona...mamamamamamaaaaaaa ni mbayaaaaaa afu mchafumchafuuuuu, nikamptezea mazimaa.............so hata wewe usidhani iyo picha uliyomjengea kichwani mwako ndo yupo ivyoo yupo tofauti kabisa,........na hicho ndo kinakufanya ufikirie unampenda sana ila kwa taarifa yako huwezi kumpenda mtu usiyemjua. hope umeelewa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom