...yeeap, lakini watu walivo wanafiki kwenye malavidavi, wacha GS aingie mjengoni....utamsikia huyo jamaa...oooh sorry nisamehe, was in love too but utoto tu sijui bla bla tuuuu.......aaah!
wee kichwa aisee!!
...yeeap, lakini watu walivo wanafiki kwenye malavidavi, wacha GS aingie mjengoni....utamsikia huyo jamaa...oooh sorry nisamehe, was in love too but utoto tu sijui bla bla tuuuu.......aaah!
Wapwaz na Binamuzi wote.
Mtakumbuka niliwahi kuanzisha masa hapa ikisomeka"nimempenda mtu nisiyemfahamu-sijawahi kumuona" niliomba ushauri na nilipata ushauri toka kwa baadhi yenu ya namna ya kumwambia..Nilikuwa nachat naye mara nyingi,kila akiwa hewani nilikuwa siachi kumsalimia na kuzungumza naye mawili matatu,kifupi ni mtu pekee humu JF niliyemzoea sana na kuweza kumwambia chochote kinachonihusu bila kumficha.Na katika kumzoea huku kukanifanya nizidi kumpenda.Baada ya kuzoeana naye Nilijikaza nikamwambia ukweli,jamaa akachomoa,nikaendelea kuvumilia na kuendelea kumsisitiza,hivi karibuni ameniambia ana mtu,nimeumia sana kwani nilkuwa najifariji huenda akawa hana mtu...Kifupi ni kwamba kanitolea nje..Nampenda..Niko njia panda sijui nifanyeje.....
Wenu katika majonzi
Gender Sensitive....
Maombi yangu yalifanikiwa... alishamdiliti... sasa tumuombee apite na huo mtihani mwingine...
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!
sasa mama!imekuwaje umeamua kunianzishia sredi?!
mi nilikwambia kwamba katika umri wangu huu wa miaka 38,sio rahisi kwamba nikakosa kuwa na mtu!....
YANINI MALUMBANO MAMA!......
duh mnaning'ang'ania hivyo toka mwanzo na kunipa ujiko hata usio kuwa wangu! Mkimkimbiza shemeji/wifi yenu mkubwa ntawafuata mmoja mmoja kama carlos the jackal..
Huyo jamaa alikurupuka alikuwa hajafanya utafiti wa posho na marupurupu ya wabunge. take my word.Gaijin mapenzi hutokea popote na wakati wowote kama mwenzetu hayajakukuta haya ya kwenye screen kama wewe unavyodai basi mshukuru MUNGU..Wenzanko hatukuamua iwe hivyo imetokea tu kama ajali..Dunia ina mambo yake..Sio wote tunaoenda kwenye line moja kila mmoja akija hapa na kuhadithia jinsi alivyompata mwandani wake utapigwa na butwaa..Tembea au kua uyaone.
Wapwaz na Binamuzi wote.
Mtakumbuka niliwahi kuanzisha masa hapa ikisomeka"nimempenda mtu nisiyemfahamu-sijawahi kumuona" niliomba ushauri na nilipata ushauri toka kwa baadhi yenu ya namna ya kumwambia..Nilikuwa nachat naye mara nyingi,kila akiwa hewani nilikuwa siachi kumsalimia na kuzungumza naye mawili matatu,kifupi ni mtu pekee humu JF niliyemzoea sana na kuweza kumwambia chochote kinachonihusu bila kumficha.Na katika kumzoea huku kukanifanya nizidi kumpenda.Baada ya kuzoeana naye Nilijikaza nikamwambia ukweli,jamaa akachomoa,nikaendelea kuvumilia na kuendelea kumsisitiza,hivi karibuni ameniambia ana mtu,nimeumia sana kwani nilkuwa najifariji huenda akawa hana mtu...Kifupi ni kwamba kanitolea nje..Nampenda..Niko njia panda sijui nifanyeje.....
Wenu katika majonzi
Gender Sensitive....
Ha ha ha!bado sijamdiliti.He is still in my heart.Ila Ubunge mwaka huu wangu..
WOS nawe kwanini umeileta tena hii post?
khaaa,...hizi JF footstepszaweza tuponza/kutujenga mbele ya safari.
GS mwenyewe aliiweka hii post 29th June 2010 08:50 AM,
Leo hii July 2/2011 watu wamei- archive huko kwenye vumbi, wanaipangusa pangusa ionekane mpya.
I wonder kuna kombora gani latayarishwa atupiwe kwenye "nyumba yake ya vioo!"
umetisha mkuu chukua thankx yako.Mpe nafasi ya kukumiss, anaweza kuja gundua anakupenda pia