Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!Sasa hicho ndio kinacotu-cost wengi wetu, we are not ready to accept the truth, matokeo yake tunakuwa tayari kudanganywa! dawa ya malaria ya klorokwini used (still is) to be very bitter in taste, lakini ili upone tuliibugia kama ilivyo. So mimi nashauri, songa mbele, tena shukuru Mungu kuwa ulimpenda kwa mbali tu, coz ingekuwa kwa ukaribu na ukakuta ndio wale wenye mkwara mpaka wa kukufungulia mlango wa gari si ndio ungetaja kujimaliza kabisa? Just accept it kuna he/she is occupied, labda sio uliyeandikiwa, na haya mambo ukiyang'ang'aniza ndio kabisa, you'll be treated like s**t!