Ninaweza soma chuo gani kwa wasifu huu?

NZURI PESA

JF-Expert Member
Mar 25, 2011
5,959
2,938
Habari zenu wakuu.
Ninaomba na kuhitaji ushauri wenu katika hili.Nina binamu yangu amesoma cheti katika chuo KIKUU CHA KWAZULU NATAL cha Afrika ya Kusini,FACULTY of HUMANITIES,SOCIAL SCIENCE and DEVELOPMENT.kozi inaitwa WORKING WITH CHILDREN,FAMILIES & COMMUNITIES AFFECTED BY HIV/AIDS,POVERTY,CONFLICT & DISPLACEMENT
Swali: Je anaweza kusoma chuo gani hapa nchini kwa level ya DIPLOMA.
Natanguliza shukran
N.P
 
Back
Top Bottom