Ninavyoishi mimi na mke wangu

kuna wakati wanawake huwa tunachoka,unaongea na mumeo hadi unachoka,ukimuambia hivi yeye anafanya opposite basi unaamua kumuacha afanye analotaka na ulimwengu utamfunza,akileta ukimwi nyumbani basi na mfe kwa amani tu maana hakuna namna nyingine,ila kwa kuwa ni mumeo basi unaendelea kumpenda na kucheza part yako kama mke ili asije kupata sababu ya kukuhukumu kwa maovu yake,,kwa kweli wanaume mbadilike mnawatesa sana wake zenu kisaikolojia.
 
kuna wakati wanawake huwa tunachoka,unaongea na mumeo hadi unachoka,ukimuambia hivi yeye anafanya opposite basi unaamua kumuacha afanye analotaka na ulimwengu utamfunza,akileta ukimwi nyumbani basi na mfe kwa amani tu maana hakuna namna nyingine,ila kwa kuwa ni mumeo basi unaendelea kumpenda na kucheza part yako kama mke ili asije kupata sababu ya kukuhukumu kwa maovu yake,,kwa kweli wanaume mbadilike mnawatesa sana wake zenu kisaikolojia.

Nimekupenda buree mpenzi yani kunywa coca nitakuja kulipa .... wanaume wanatuvuruga sana akili
 
Anakupenda hayo madogo......mie mwenzako nasonga ugali saa 8 usiku..hapa najua linalewa huko....likija fasta nalisongea ugali......
Na tuitwe tu wanawake silipigii simu wala msg maana hapa ni kwake litazurura litarudi tu home.......

We jembeeeee!! 😀😀😀😁
 
Namuona mke namtoto wangu wamelala, mke hana noma nimempigia amepokea na amenifungulia Geti muda huu Saa 6 usiku.good enough kaniandalia msosi na maji ya kuoga na hakuna mnuno ananiuliza vi[i umesikia habari za Banadarini Leo?...hahaa...

Ameshanipigia pasi nguo za kesho na anajua kesho nitarudi Saa 8 usiku Jumamosi asubuhi ataacha maagizo kwa Dada aniandalie mchemsho wa samaki asubuhi, dont forget atawatoa kwenye friji wayeyuke na atapiga sim saa nne asubuhi kunijulia hali no mnuno!

Kikubwa jamani tuheshimiane na kupendana ata simu izi tuache kupekuana, sisi huwa wala hatushiki simu za mwenzie, but uwe na adabu ikipigwa ongea apo apo.
@mcepuko sisi watu wenye mapenzi ya kusamehana na kutonuniana, wako kwenye makaburi siku nyingi, wamebaki wajane na wanaolala mzungu wa nne.Watoto wamebaki wanaangaika mtaani.
 
Kumbeee ndomana hapa jiran kuna jamaa anakuja kumla utamu wa mke wa mtu alafu anaondoka saa saba daah pole sana kaka ndo maisha lkn
 
hahahha... ukisikia situationship ndy hiii. wewe jamaa hata hujui uko kwenye ship gani na mkeo.ila yeye anajua ship gani yupo ndyo maana she is so calm. jaman get me intouch with her so I can learn some skills.
 
Mletee tu huyo mchepuko wako ndani kwako....atawaandalia maji ya kuoga na atawapikia..Kisha atawapisha kitanda mlale....

Hayo ndo maisha Bora kabisa....mkuuu bigup sana
 
Back
Top Bottom