Kwanini unaiuza?nimeitunza vizuri sana
Kwasababu ni ya kwake, unataka gari au unataka sababu? HahaahKwanini unaiuza?
✍️
Ninauhitaji wa Cash wakati huuKwanini unaiuza?
SawaKwasababu ni ya kwake, unataka gari au unataka sababu? Hahaah
8.8 Million immediately?Ninauhitaji wa Cash wakati huu
Maongezi kawaida yapo8.8 Million immediately?
Okay sawaMaongezi kawaida yapo
Ameuliza swali la msingi kabisa, otherwise uwe hufahamu kanuni za manunuzi ya bidhaa hiziKwasababu ni ya kwake, unataka gari au unataka sababu? Hahaah
Hahahahaha Mimi MTU akishauliza kwanini nauza, najuaga hamna biashara hapo. Kwahio unataka ajibiweje?Ameuliza swali la msingi kabisa, otherwise uwe hufahamu kanuni za manunuzi ya bidhaa hizi
6.5 itafaa mkuu?Maongezi kawaida yapo
Hapana mkuu, japo ni kiasi kikubwa niwie radhi mkuu, samahani sana6.5 itafaa mkuu?
Mkuu kwa namba C ml.7 usiache hata kama gari ina matunzo, na kama unajijua haukuitunza vizuri mfate huyo mwenye ml.6.5 inbox chap!.Hapana mkuu, japo ni kiasi kikubwa niwie radhi mkuu, samahani sana
Mkuu kwa namba C ml.7 usiache hata kama gari ina matunzo, na kama unajijua haukuitunza vizuri mfate huyo mwenye ml.6.5 inbox chap!.