Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Mama hebu kuwa na akili komavu. Kama huna pesa za kusafiri huhitaji kuchangiwa ukamuone ex tena usikute ameoa utakuta kebehi huko.

Kama anaongea mpigie simu umpe pole Na muombee Mungu ampende zaidi ili na wewe uolewe wenyewe wanasema 'oa single maza kama mumewe kafa'
Bimkubwa amesema wazi kabisa kwamba ahitaji kushauriwa juu ya nini afanye kwa mzazi mwenzie huyo, bali yeye ameomba kusaidiwa kile ambacho anaona kinampa msukumo moyoni mwake....
Mkuu, wewe kama una mahasira na mzazi mwenzio basi usihamishie mtazamo wako kwenye huu uzi.
Bimkubwa hajaomba ushauri zaidi ya mchango wako ambao ni muhimu sana kwa haja ya moyo wake.....
 
Bimkubwa amesema wazi kabisa kwamba ahitaji kushauriwa juu ya nini afanye kwa mzazi mwenzie huyo, bali yeye ameomba kusaidiwa kile ambacho anaona kinampa msukumo moyoni mwake....
Mkuu, wewe kama una mahasira na mzazi mwenzio basi usihamishie mtazamo wako kwenye huu uzi.
Bimkubwa hajaomba ushauri zaidi ya mchango wako ambao ni muhimu sana kwa haja ya moyo wake.....
Swadataaaaa
 
Salaam sana wana MMU wote;

Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.

Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.

Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.

Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.

Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.

Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.

Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.

Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.

Naomba tu msinitukane maana nitalia;



Hua sipendi mtu matatizo yake anayafanya ya dunia nzima.

Akiuguliwa,akiumwa,akijamba lazima aseme dunia nzima ijue!

Tuwe tunajikaza kisabuni bwana!
 
Salaam sana wana MMU wote;

Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.

Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.

Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.

Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.

Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.

Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.

Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.

Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.

Naomba tu msinitukane maana nitalia;
Pole Sana mkuu, kumbe umeikula Chumvi
 
Hua sipendi mtu matatizo yake anayafanya ya dunia nzima.

Akiuguliwa,akiumwa,akijamba lazima aseme dunia nzima ijue!

Tuwe tunajikaza kisabuni bwana!
Kushare tatizo lako na wenzako na kupata mawazo yao kwa kiasi kikubwa husaidia kupunguza mawazo ambayo mwenye tatizo huwa nayo na hivyo kupunguza hatari ambayo ingetokea iwapo angebaki nalo mwenyewe

Hili la kukomaa kisabuni ndio mwishowe unasikia mtu kajiua aidha kwa kujinyonga au kunywa sumu maana alikaa na tatizo mwenyewe akidhani halina suluhu kumbe angeshare na watu kama alivyofanya mleta mada angepata msaada
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom