Pia nawe unaongea usichokijua pia.Kwa iPhone kutoa iCloud inawezekana,
Ila inatumia Muda kidogo ku-jail break process zake!!!....Ndo maana kila baada ya Muda Huwa wanatoa updates kwa ajili ya kudhibiti access.
Kwa hapa town nawafamu vijana 2 wanakufanyia iyo kazi .Ila ghalama zake sio hizo twenty,ni km 120 mpk 200.pia inategemea km ilikuwa imeripotiwa lost au hapana!!,km lost status encryption inakuwa ngumu na ghalama zinaongezeka.
Inawekana ku bypass iCloud.
We kweli kilaza, kumbe umetoa iPhone 4, It means hata hufahamu kwamba iPhone 4 is no longer supported when upgrading to latest iOS which have key feature of icloud lock
Hilo ndilo linaifanya isiwe na security ya kutosha kama simu nyingine za iphone na kwakujua hilo apple wameshaacha kuisupport kwa kutoa updates kwa ajili yake maana haiwezi kwendana na uwezo wanaohitaji simu iwe nayo kwa sasa.iCloud locked iko hata kwa Iphone 4, then only thing kuhusu iphone 4 ni kuwa huwezi upgrade to IOS 7 and other higher version
Rudi kwenu Iringa sijui Njombe ukawadanganye wala mbwa wenzio hata kiswahili hujui utajua wapi icloudhivi munaona iphone kama ni smu ya ajabu ni smu yakawaida wengi wenu munaogopa hadi kuzinunua
Uki redirect server unaigeuza simu kuwa ipod maana baada ya hapo inakuwa haisomi networkKutoa iCloud ya simu from iphone 5 si rahisi, mimi mwenyewe nlishindwa mana njia zote ziko very delicate kuharibu simu husika. Usipoteze mda ndgu ila baada ya miezi sita mimi ntakuwa na uwezo huo. Redirecting apple server ndiyo njia rahisi lakini is very complicated kwa watumiaji wa kawaida
Raphael RapperHahaha raphael unachekesha, yani simu inaomba Apple Id ukiiwasha unaweza kuitoa?? huu wizi... labda simu inayotumika na mhusika kusahau password ya ID hapo nakubali inaweza kutoka.
Iphone ipiKweli kabsa mkuu yangu iko hiyo version IOS 10.2.1
ni email ambayo inakufanya uweze kushusha program appstore kama ilivyo kwa andros tunaita gmail kWA CMU ZA iphone TUNAITA ICLOUDnijibu I cloud ni nini
Kumbe hata maana ya icloud huijui mkuu.ni email ambayo inakufanya uweze kushusha program appstore kama ilivyo kwa andros tunaita gmail kWA CMU ZA iphone TUNAITA ICLOUD
Kwa simu zipi? Version gani ya iOS? Wengi wanachanganya "Bypass" iCloud activation na "Remove" iCloud account!I cloud inatoka mazee wala msidhani haitoki
Mh icloud sio email ni mfumo ambao unamuanganisha mtumiaji wa iPhone katika database ya Apple ivyo ana uwezo wa kushares na Ku store vitu vyake katika Remote Server ivyo ugumu wa kufungua inakuja sababu inakubidi uingilie mfumo wa appleni email ambayo inakufanya uweze kushusha program appstore kama ilivyo kwa andros tunaita gmail kWA CMU ZA iphone TUNAITA ICLOUD
We jamaa kumbe hata hauelewi kitu! Kuna tofauti kubwa sana kati ya iCloud account na Apple ID!!ni email ambayo inakufanya uweze kushusha program appstore kama ilivyo kwa andros tunaita gmail kWA CMU ZA iphone TUNAITA ICLOUD
Hajui hata anachodai anatoaWe jamaa kumbe hata hauelewi kitu! Kuna tofauti kubwa sana kati ya iCloud account na Apple ID!!
elezeaWe jamaa kumbe hata hauelewi kitu! Kuna tofauti kubwa sana kati ya iCloud account na Apple ID!!
ni email ambayo inakufanya uweze kushusha program appstore kama ilivyo kwa andros tunaita gmail kWA CMU ZA iphone TUNAITA ICLOUD