Alfonce Leonard
New Member
- Aug 3, 2010
- 4
- 0
wadau nisaidieni wapi nipatekazi za kilimo baada ya kuhitimu shahada ya kilimo. Ninasoma mwaka wamwisho katika chuo kikuu cha kilimo cha sokoine (SUA) ninahitimu mwezi agost 2011.
subiri umalize chuo ukishapata cheti ndio utafute kazi kama bado unasoma malizia kwanza hiyo shule sasa kama ukishindwa kumaliza utapataje kaziwadau nisaidieni wapi nipatekazi za kilimo baada ya kuhitimu shahada ya kilimo. Ninasoma mwaka wamwisho katika chuo kikuu cha kilimo cha sokoine (SUA) ninahitimu mwezi agost 2011.
utaipata shambani mkuuwadau nisaidieni wapi nipatekazi za kilimo baada ya kuhitimu shahada ya kilimo. Ninasoma mwaka wamwisho katika chuo kikuu cha kilimo cha sokoine (sua) ninahitimu mwezi agost 2011.