Ni muda sasa natafuta kuwasiliana na Mh. Edward Lowasa. Naomba mnisaidie e-mail yake au number ya simu yake ya mkononi. Niko serious, naomba msaada huo.
Ninatafuta mawasiliano naye kwa mambo ya kawaida tu,ikiwa ni pamoja na kujifunza kwake katika yale anayoyaamini na kuyasimamia, nk.
Ili isije ikaleta usumbufu kwake kwa kila mtu kujua mawasiliano yake, kwa kuanikwa humu jamvini basi naomba nitumiwe anwani-pepe yake na simu yake kwa e-mail ifuatayo: eedoh05@excite.com
Ninatafuta mawasiliano naye kwa mambo ya kawaida tu,ikiwa ni pamoja na kujifunza kwake katika yale anayoyaamini na kuyasimamia, nk.
Ili isije ikaleta usumbufu kwake kwa kila mtu kujua mawasiliano yake, kwa kuanikwa humu jamvini basi naomba nitumiwe anwani-pepe yake na simu yake kwa e-mail ifuatayo: eedoh05@excite.com