Dini (kutoka Kiarabu ) inamaanisha jumla ya imani ya binadamu kadhaa pamoja na mafundisho wanayotoa kuhusu yale ambayo wanayazingatia ama kuyasadiki, yaani mambo ya roho, kama vile kuhusiana na Mungu, maisha na uumbaji..
Kuna dini nyingi duniani Miongoni mwazo ni;
Pamoja na hizi kuna dini mbalimbali zinazojulikana tangu karne nyingi duniani hata kama idadi ya wafuasi si kubwa sana kwa mfano:
Pia kuna imani ambazo zinafanana kwa namna fulani, hivyo mara huhesabiwa kama imani mbalimbali za pekee, mara huhesabiwa kama kundi la dini zenye misingi ya pamoja au kama matawi ya imani moja. Zikitazamiwa pamoja idadi ya wafuasi ni kubwa kiasi lakini zikihesabiwa moja-moja idadi ya wafuasi si kubwa sana, kama vile:
- Uyahudi
- Uzardoshti (Uzoroaster)
- Ujain
- Usingasinga
Udini
Ndugu zangu UDINI ni ile hali ya binadamu kuonyesha dharau na chuki isiyokuwa na sababu kwa imani au dini isiyokuwa yake. Kuonyesha kuwa hakuna dini sahihi ila dini sahihi ni dini fulani na waumini wake. Pia ni hali ya kwa kueneza hofu miongoni mwa watu wa imani au dini nyingine kuhusiana na imani au waumini hao. Udini pia ni pale mtu anapo onyesha hali ya ubaguzi kwa dini au waumini wa dini fulani kwa kuwatenga wao kiuchumi, kijamii na hata kimazingira kwa dharau au kuwaona wapo chini ya ustaarabu kulingana na tamaduni wa jamii hiyo. Zaidi ya hapo Udini ni hali ya kuwapendelea wale wanaoamini katika imani yako ya kidini
DINI ............ Imani ya kiroho aliyonayo mtu juu ya MUNGU anayemuaminiNaombeni tofauti kati ya maneno yafuatayo: UDINI na DINI, maana imezuka tabia humu katika jukwaa mtu akiwa anatetea dini yake anaitwa MDINI. Wataalamu tufafanulieni