Ciphertext
Senior Member
- Apr 21, 2012
- 160
- 33
Mafunzo gani ya week tatu? Week tatu ndo unatoa pofu kiasi hiki? Huna lolote, nenda wakakutoe sukari.Wana JF, salam!
Nategemea kushiriki mafunzo ya JKT yatakayoshirikisha wabunge vijana. Nafanya hivyo kwa ajili ya NCHI YANGU, VIJANA WENZANGU NA CHAMA CHANGU.
Nawatakia ujenzi mwema wa taifa kwa kutumia ubao huu/tuition hii ya bure itoayo elimu ya maisha ie JF.