Haahaahaaateh teh huna furaha sababu unatamani vitu usivovimudu mfano hii nyumba umepost sio yako.. wwajenzi wa nyumba hizo hawana maneno kama yako
Hapo furaha nunua nyapu tuWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Kuna jamaa yangu kila tukienda baa kula bia,ananitoroka.Kumbe,ni lazima aende kilabuni kwenye local liquor anywe.Apigane,ndiyo arudi baa tuendelee kunywa bia.Sijui umeelewa?Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Sitaki watu Desperate Kama weweTatizo hujaoa hata mimi nina gar ma sina furaha sasa nioe ili tuwe mama mwenye nyumba na baba mwenye gari
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Kama hela ulizojengea ni halali kabisa .basi wewe jipe muda utafurahia maisha huko.inaweza kuwa ni ugeni tu maana umehamia kutoka eneo lingine.Otherwise kama hela ulizojengea siyo halali basi kuna mengi ya kuzungumzaWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
In tangazo la Kutujisha na Kutunyesha kuwa amejenga! Alipie....
Hili ni TANGAZO LA BIASHARA?
#YNWA
Anataka atomb***In tangazo la Kutujisha na Kutunyesha kuwa amejenga! Alipie....
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Ardhi, ardhi, ardhi, ardhi! Najua wengi hamuwezi kunielewa.Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Tatizo unalijua mwenyeweWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Ndio maana kwenye ule uzi niliwaambia msijenge nyumba mkawa mnanibishia.Nani alikwambia kuishi kwako kwenye gorofa ni uhakika wa furaha? Sasa ushajua furaha sio magorofa nenda katafute furaha.