1. Ni mwadilifu-maisha yake ni ya kawaida.
2. Hana tuhuma za mali isiyoelezeka.
3. Hajawahi kutumika/kurubuniwa na Serikali.
4. Ni mtu jasiri.
5. Amesaidia kufichua mchwa wa uchumi wa TZ.
6. Kwa miaka 15 ya Ubunge amedhihirisha uwezo wake kiuongozi.
NA WEWE NI KAMA MIMI?
2. Hana tuhuma za mali isiyoelezeka.
3. Hajawahi kutumika/kurubuniwa na Serikali.
4. Ni mtu jasiri.
5. Amesaidia kufichua mchwa wa uchumi wa TZ.
6. Kwa miaka 15 ya Ubunge amedhihirisha uwezo wake kiuongozi.
NA WEWE NI KAMA MIMI?