Nadhani kwa wanaojua matukio ya kisiasa ya taifa letu wanajua ninachomaanisha yani utungaji huu wa sinema utahusisha moja kwa moja kati ya mapambano ya kuzuia rasilimali za nchi na mwingine akionyesha jinsi gani ya kupita katika maisha magumu ya kisiasa
Note:
Ninajitahidi kuwashirikisha katika midaharo ya moja kwa moja na live watu hawa
pia nitatumia historia zao katika kukamilisha move hii
Wazo
Je nani awe star na nani awe kubwa la maadui?
Note:
Ninajitahidi kuwashirikisha katika midaharo ya moja kwa moja na live watu hawa
pia nitatumia historia zao katika kukamilisha move hii
Wazo
Je nani awe star na nani awe kubwa la maadui?