Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,821
mkuu nachelea kusema kwamba umenielewa vibaya, na wala sipo hapa kwa ajili ya kujisifu maana ni upuuzi kujisifu with anonymous id, nani anayenijua hapa jf?? Mkuu wewe hujui lakini mwenzako kila siku najiuliza sababu ni nini, may be hayajakukuta ndo maana unaona nimekuja kujisifu.
naona chalii unajua sana. haya iyo itakuwa gundu tuu umetupiwa na jiran yako pale ulipokuwa unaishi alipoolewa dada yako.(hizo ni taaarifa za kiintelejensia nilizopata soon) tiba yake inabidi unywe supu ya mbwa kutwa mara tatu na ujifunge hirizi kubwa kiunoni wakati wa kujamiiana na huyo utakayempata.