Mgoroko
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 769
- 442
Najua kwa watu wenye iq ndogo najua watapata mihemko mikubwa sana,lakini kwanini nasema nina sababu tilioni za kumchagua magufuri kwa sababu zifuatazo
1.Magufuri alikuwa waziri wa kwanza kuto pwaya katika wizara yeyote ile aliyo teuliwa.
2.Magufuri ni kiongozi mwenye vision kubwa sana na nchi hii.
3 .Magufuri ni kiongozi ambaye uadilifu wake hauna mashaka kwa 100%
4.Magufuri ni kiongozi ambaye hajawahi kuomba kuteuliwa na chama chake kugombania uraisi zaidi ya mara moja,hii ina maana ni mtu anaye jiamini na kukubalika na ndio maana alivyo jitokeza kwa mara ya kwanza tu akateuliwa.
5.Magufuri ni zaidi ya Tinga Tinga na ni zidi ya Raisi.
6.Magufuri ndio kiongozi tunaye muhitaji kwa Tanzania ya sasa.
Mwisho ccm tutashinda kwa kishindo,iwe ni kwa bao la mkono au bao la goti au bao la kisigino hata ikiwezekana kwa kiungo chochote cha mwili wa binadamu TUTASHINDA.
#HapaKaziTu#TeamMagufuri
1.Magufuri alikuwa waziri wa kwanza kuto pwaya katika wizara yeyote ile aliyo teuliwa.
2.Magufuri ni kiongozi mwenye vision kubwa sana na nchi hii.
3 .Magufuri ni kiongozi ambaye uadilifu wake hauna mashaka kwa 100%
4.Magufuri ni kiongozi ambaye hajawahi kuomba kuteuliwa na chama chake kugombania uraisi zaidi ya mara moja,hii ina maana ni mtu anaye jiamini na kukubalika na ndio maana alivyo jitokeza kwa mara ya kwanza tu akateuliwa.
5.Magufuri ni zaidi ya Tinga Tinga na ni zidi ya Raisi.
6.Magufuri ndio kiongozi tunaye muhitaji kwa Tanzania ya sasa.
Mwisho ccm tutashinda kwa kishindo,iwe ni kwa bao la mkono au bao la goti au bao la kisigino hata ikiwezekana kwa kiungo chochote cha mwili wa binadamu TUTASHINDA.
#HapaKaziTu#TeamMagufuri