Nina PhD natafuta kazi

PHD kabisa afu huna kazi!! Yaaan dah hapana,, mmmmmh! Hatujafika huku kwa Tanzania kama hutuchori tafuta kazi zipi nyingi sana kwa grade yako.

yaan CBE,IFM, TIA kuna ma lecture wana videgree afu wakuu wa vyuo hivyo wanawatafuta watu kama wewe afu useme huna kazi, uko locked au vyeti umevipatia msimbazi!??


Loading,,,,,,,,,,,,

Hao wote uliowataja hawakuchukui kma huna GPA ya 3.8 bach
 
Habari zenu ndugu zanguni,

Nimesoma B.A ya economics UD, kwa kuwa mzee wangu alikuwa ana kauwezo mdogo akanishauri nisome masters. Nilipokuwa nasoma Masters niliona tangazo la PhD scholarship ya DAAD-Germany, nikaomba kwa bahati nzuri nikapata hivyo baada ya kumaliza masters nikaenda kusoma Hamburg Ujerumani. Hivi sasa ninapoongea nina PhD ya business administration management na kwa bahati mbaya sana hamna tangazo la kazi wanalotaka mtu mwenye PhD asiye na experience hata kidogo, nimechanganyikiwa mpaka najuta kusoma.

Huu ni mwaka wa pili natafuta ajira, niliomaliza nao degree ya kwanza hivi sasa wana maisha mazuri namimi hali yangu haieleweki. Na wazazi uwezo wao kiuchumi umepungua sana hiyvo hawawezi kunipa hata mtaji nikafanye biashara, maisha haya jamani, sijui ninamfundisha nini mdogo wako anayenifata?

MKINIPA MAWAZO YA KUJENGA NTAWASHUKURU ZAIDI.

Kweli unastahili kupewa msaada wa mawazo kwani hata maelezo yako ni ya busara mno.
 
Mkuu kwanza siamini kwamba una PhD, pili napenda kujua kama unayo kweli ulivyokuwa unasoma ulikua na malengo gani?, tatu, thesis ya PhD huwa inatumika kama experience ya research so siyo kweli kwamba huna experience labda kama ulifanyiwa thesis, nne, tafuta think tank yoyote nenda waambie unahitaji kazi watakupa PhD siyo kitu kidogo kama unavyofikiri (labda kama hufanani na PhD unayosema!). By the way, SIAMINI MAELEZO YAKO MKUU.
 
Habari zenu ndugu zanguni,

Nimesoma B.A ya economics UD, kwa kuwa mzee wangu alikuwa ana kauwezo mdogo akanishauri nisome masters. Nilipokuwa nasoma Masters niliona tangazo la PhD scholarship ya DAAD-Germany, nikaomba kwa bahati nzuri nikapata hivyo baada ya kumaliza masters nikaenda kusoma Hamburg Ujerumani. Hivi sasa ninapoongea nina PhD ya business administration management na kwa bahati mbaya sana hamna tangazo la kazi wanalotaka mtu mwenye PhD asiye na experience hata kidogo, nimechanganyikiwa mpaka najuta kusoma.

Huu ni mwaka wa pili natafuta ajira, niliomaliza nao degree ya kwanza hivi sasa wana maisha mazuri namimi hali yangu haieleweki. Na wazazi uwezo wao kiuchumi umepungua sana hiyvo hawawezi kunipa hata mtaji nikafanye biashara, maisha haya jamani, sijui ninamfundisha nini mdogo wako anayenifata?

MKINIPA MAWAZO YA KUJENGA NTAWASHUKURU ZAIDI.

PhD, mzee kaombe kazi katika vyuo vikuu...sidhani kama utakosa kazi ya kufundisha!
 
Undergraduate ulipata GPA above 3.8 au ulikuwa unasoma tu coz ulikuwa na pesa kaombe uassistant lecture kama ulipata hiyo kaka tumia cheti cha masters kwanza au tafuta instute wanazofanya research watakuchua bro nenda tirdo utapata more details bro
 
Loh, sidhani kama uko "serious", PhD unatafuta kazi Tanzania hii!!
Kwa "level" ya PhD nakushauri ukaitumie vyuoni, na vyuo vipo vingi sana huku idadi ya wahadhiri ni chache mno!
Kwa taarifa yako, zile nafasi nyingi zinazotangazwa za "Lecturer Positions" katika vyuo vingi nchini huambulia patupu.
 
Habari zenu ndugu zanguni,

Nimesoma B.A ya economics UD, kwa kuwa mzee wangu alikuwa ana kauwezo mdogo akanishauri nisome masters. Nilipokuwa nasoma Masters niliona tangazo la PhD scholarship ya DAAD-Germany, nikaomba kwa bahati nzuri nikapata hivyo baada ya kumaliza masters nikaenda kusoma Hamburg Ujerumani. Hivi sasa ninapoongea nina PhD ya business administration management na kwa bahati mbaya sana hamna tangazo la kazi wanalotaka mtu mwenye PhD asiye na experience hata kidogo, nimechanganyikiwa mpaka najuta kusoma.

Huu ni mwaka wa pili natafuta ajira, niliomaliza nao degree ya kwanza hivi sasa wana maisha mazuri namimi hali yangu haieleweki. Na wazazi uwezo wao kiuchumi umepungua sana hiyvo hawawezi kunipa hata mtaji nikafanye biashara, maisha haya jamani, sijui ninamfundisha nini mdogo wako anayenifata?

MKINIPA MAWAZO YA KUJENGA NTAWASHUKURU ZAIDI.


Nijuavyo mimi PhD ni elimu ya juu sana, nasikitika kuoana mtu mwenye PhD anakuja kulia humu eti sina kazi, tena ni mtu aliyesoma utawala na mambo ya biashara, huku ni kuwakatisha tamaa wanafunzi wetu wa level za chini. Inakuwaje mtu na PhD yako ushindwe kutawala mazingira hasa katika kipindi hiki cha mpito? Ulisoma ili uajiliwe? tena PhD?

Ulivyokuwa unasoma PhD lazima ulitengeneza network na watu fulani ambao kwa sasa unaweza kushaurina nao nini cha kufanya na wapi pa kuanzia. Wewe unakuja kulia humu? Kwani lazima uajiliwe Tanzania? Lazima uajiliwe na serikali? mtaji lazima utoke kwa wazazi? Shule yako inakusaidiaje kama unawaza kama mimi wa darasa la 7? I am so disappointed. Ni bora ulipata GPA below 3.8 maana huna cha kuwapa wanafunzi zaidi ya kile kilichoandikwa kwenye vitabu ulivyopata kusoma tu.

Hebu ni-PM nikupe mawazo na ufunguke, tafuta opportunities man!!! PhD ya Bussiness management and Administration, halafu unashindwa kutafuta fulsa? Kweli ulisoma ili ufaulu. Please nitumie thesis yako
 
Nijuavyo mimi PhD ni elimu ya juu sana, nasikitika kuoana mtu mwenye PhD anakuja kulia humu eti sina kazi, tena ni mtu aliyesoma utawala na mambo ya biashara, huku ni kuwakatisha tamaa wanafunzi wetu wa level za chini. Inakuwaje mtu na PhD yako ushindwe kutawala mazingira hasa katika kipindi hiki cha mpito? Ulisoma ili uajiliwe? tena PhD?

Ulivyokuwa unasoma PhD lazima ulitengeneza network na watu fulani ambao kwa sasa unaweza kushaurina nao nini cha kufanya na wapi pa kuanzia. Wewe unakuja kulia humu? Kwani lazima uajiliwe Tanzania? Lazima uajiliwe na serikali? mtaji lazima utoke kwa wazazi? Shule yako inakusaidiaje kama unawaza kama mimi wa darasa la 7? I am so disappointed. Ni bora ulipata GPA below 3.8 maana huna cha kuwapa wanafunzi zaidi ya kile kilichoandikwa kwenye vitabu ulivyopata kusoma tu.

Hebu ni-PM nikupe mawazo na ufunguke, tafuta opportunities man!!! PhD ya Bussiness management and Administration, halafu unashindwa kutafuta fulsa? Kweli ulisoma ili ufaulu. Please nitumie thesis yako

ni "fursa" na siyo "fulsa"

ni "uajiriwe" na siyo "uajiliwe"

Ahsanteeeeee
 
vyuo vingi ili uajiriwe ni lazima uwe na GPA ya 3.8 kwenye degree ya kwanza na mimi nilikuwa na 3.4

Kwa stahili hiyo huwezi kuwa lecturer labda uombe kazi za academic kama dean n.k au la kasome bachelor ya kitu kingine upate atleast 3.8
 
Sio kweli sababun kuna watu tunawajua degree ya kwanza walikuwa na GPA za kawaida wakaenda kusoma masters na saiv wanafundisha..ni channel tu.im sure utapata kazi;ila tujifunze kwamba experience ya kazi nayo matters...Nakutia moyo utafanikiwa wala usijilaumu kabisaa,kama vipi peleka CV zako Tumaini nUniversity ya Dar(hata uombe part time utapata),KIU,Univ of Bagamoyo etc etc

Sio kweli labda private tena za vichochoroni hata uwe proff kama hauna academic GPA ya 3.8 and above kamwe huwezi kuitwa lecturer wengi wao wanakuwa wanafanya kazi za administration tu au researchers au wanadaidia malecturers but chuo hakimtambui km lecturer hata udsm wapo ma Dr ambao wana 3.7 na kushuka ila hawafundishi na hawaruhusiwi ila wamepewa nafasi tu nyingine za uongozi au wanawasaidia au kufanya project pamoja na ma Dr wenzao.
 
zoomtanzania.com/sectionoverview?ParentSectionID=8&CurrentPage=2&SortBy=MostRecent
 
Mkuu i think u shud focus kwenye learning institutions and universities kupata kazi, anzia chini if pocble kama vile volunteering and with time i believe utapata kazi ya kufundisha!
 
Back
Top Bottom