pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
kipindi flani nilikutana naye akitembea kwa miguu toka Kilungule hadi Kimara Korogwe.Sinta , kachoka sasa baada ya kujipatia umaarufu mkubwa na kuchukua tuzo kibao za kuandikwa kwenye vyombo vya habari akichuana na Msaani mwenzie matata NORA!. Kama unataka details zake, alikuwa anapatikana maeneo ya Kimara Korogwe ( eneo la Kilungule), sina shaka ndo yalipo maskani.
Kupata "direction" unanzia kwa kumuulizia kwenye kituo cha Taxi cha Kimara Korogwe".
Kuhusu Davina, habari zaidi zinaweza kupatikana kwa wanaofahamu hapa..