Nina mpenzi nimemchoka na simpendi lakini nashndwa jinsi kumuacha nifanyeje???????

25 yrs ur too young!!!!!!! kwa hiyo bado una mambo ya kitoto sana u dont know even what the meaning of lv.
hata huyo demu mwanza nae ni wakupita!, and what kind a man are you huwezi kutongoza mpaka kwenye mitandao? be a man kijana and muache kama ulivyowaacha au ulivyoachwa na waliopita............
 
  • Thanks
Reactions: EGK
Habari wadau°°°°°°°°°°

Im a 25yrs old mvulana, nina demu mpya ambae 2na mda wa miez miwili tu, nilmpata kupitia mitandao ya kijamii (FB)

Baada ya kuwa karbu nae kupitia chating and open phone calls Ilifka ctage ya kuonana live, Na kabla ya kuonana 2likuwa 2shatongozana tayar na demu alikuwa amekubali.


Ebwana 2lipokuja kuonana Demu alikuwa wa wastani sana japokuwa ni mrembo na anaxoma chuo kimoja hvi hapa dsm, 2lipeana ma-hugs then ikabak her turn kuja geto.


Ctak ujue nilshakwenda nae mara ngapi but c chn ya mara3, demu kusema kwel amenogewa, na amenipenda sana tena kupita kias, Na mpaka sasa alishafka mpaka maskan kwe2 na mara kbao anaibukaga hata kama mimi cpo, watoto wa maskan anawaletea mizawad kbao c maanish pipi au big G Hapa but v2 vya gharama. Na watu wa maskan wamemkubal na wamemuzoea na wananishawish niweke ndani.

Nimekuwa nikijarbu Kupunguza mawasliano lakn yeye ananisaka kama obama na Osama.

Cku zngne namkatazaga had kuja maskan but unastukia alshatnga.

Why namkataa?

1.Umri wake nahs kama ananidanganya ni mkubwa xana.

2.kabila lake cyo favourite kwangu cpend watu wa that tribe(ctetei ubaguzi lakin)

3.Nina demu wangu mchumba yuko Mwanza ni msomi pia tena nampenda kupita kias, ni mrembo wa kabila langu, na ni miaka 7 leo tangu 2anze nae mahusiano ctaki kumuacha hata iweje, Na cku nikrud mwanza cjui itakuwaje mana nahs ataningundua kuwa nilimsaliti katka mapenzi.

Ombi langu-

Nifanyeje kumkwepa huyu m2? Je ni2pe laini? nimblock fb? je Akija nyumbani? halafu lile kabila ni balaa kwa Unga wa miti?

WADAU NAOMBA USHAURI NATESEKA SANA PIA USINIELEWE VBAYA I'M A GUY WHO CARE CO FUNGUA FUNGUA ZIPU, NILISHNDWA NA TAMAA ZA MWILI NIKAONA NIEGESHE KWA MDA KUMBE MWENZANGU ANATAKA KUOLEWA.

NDO KUSEMA CKU HZ HAKUNA KUTONGOZANA LAZMA MUOANE LOL!

CTARUDIA WANDUNGU!
Mwombe tigo...
 
Dogo pole sana, kwa siri yako usimwambie mwingine lakini, nakupa siri nipo hapa mwanza natoka na mchumba wako coz kaniambia kuwa ana mchumba yupo mbali nae, kwa maelezo yako n wewe maana nae kasema ana miez 7 tokea mdo! shaka ondoa, endelea kukamua, nami nakusaidia kukamua uku, ila usimwambie mtu maana kanikataza kusema!
 
Aisee wewe kenge wa kijani maisha yako mumaji.hv unazani huyo binti yeye hana moyo?fikili kabla ya kutenda.na ngoja huyo msukuma wako ajue kuwa umemsaliti nyambafu wewe!!!!!
 
ushaenda naye si chini ya mara tatu ....nyambaaaaaaaaaaaafu nakutoa utumbo haki ya nani
yani ulimfatia nini kama unawako wa ubani tena na muunga mkono huyo dada kukupulizia huo unga wa miti kama anao na kama hana akausake fasta nyoooooooooo umenikeraje sasa ...ni lini mtaacha kuchezea watoto wawatu jamani..alafu wakati unamfata ukamuambia wewe ni single si ndio(kama ndio haki ya nani namshauri akutoe finyango)
 
Truth will set you free bro. Mwambie unahitaji kufikiria juu ya haya yote. Unaweza kushangaa huyo ndio wako wa ukweli. Umzanie ndie sie bro. Unaweza kurudi mwanza unakuta mtu naye alikuwa kama wewe pia amebadilika. Kazi unayo
 
usicheze na moyo wa huyo dada na unavyosema anakupenda sana cku ukimuacha lazma unga wa miti ufanye kazi..,so ucshangae ki2 kikiacha kufunction.
 
Habari wadau°°°°°°°°°°

Im a 25yrs old mvulana, nina demu mpya ambae 2na mda wa miez miwili tu, nilmpata kupitia mitandao ya kijamii (FB)

Baada ya kuwa karbu nae kupitia chating and open phone calls Ilifka ctage ya kuonana live, Na kabla ya kuonana 2likuwa 2shatongozana tayar na demu alikuwa amekubali.


Ebwana 2lipokuja kuonana Demu alikuwa wa wastani sana japokuwa ni mrembo na anaxoma chuo kimoja hvi hapa dsm, 2lipeana ma-hugs then ikabak her turn kuja geto.


Ctak ujue nilshakwenda nae mara ngapi but c chn ya mara3, demu kusema kwel amenogewa, na amenipenda sana tena kupita kias, Na mpaka sasa alishafka mpaka maskan kwe2 na mara kbao anaibukaga hata kama mimi cpo, watoto wa maskan anawaletea mizawad kbao c maanish pipi au big G Hapa but v2 vya gharama. Na watu wa maskan wamemkubal na wamemuzoea na wananishawish niweke ndani.

Nimekuwa nikijarbu Kupunguza mawasliano lakn yeye ananisaka kama obama na Osama.

Cku zngne namkatazaga had kuja maskan but unastukia alshatnga.

Why namkataa?

1.Umri wake nahs kama ananidanganya ni mkubwa xana.

2.kabila lake cyo favourite kwangu cpend watu wa that tribe(ctetei ubaguzi lakin)

3.Nina demu wangu mchumba yuko Mwanza ni msomi pia tena nampenda kupita kias, ni mrembo wa kabila langu, na ni miaka 7 leo tangu 2anze nae mahusiano ctaki kumuacha hata iweje, Na cku nikrud mwanza cjui itakuwaje mana nahs ataningundua kuwa nilimsaliti katka mapenzi.

Ombi langu-

Nifanyeje kumkwepa huyu m2? Je ni2pe laini? nimblock fb? je Akija nyumbani? halafu lile kabila ni balaa kwa Unga wa miti?

WADAU NAOMBA USHAURI NATESEKA SANA PIA USINIELEWE VBAYA I'M A GUY WHO CARE CO FUNGUA FUNGUA ZIPU, NILISHNDWA NA TAMAA ZA MWILI NIKAONA NIEGESHE KWA MDA KUMBE MWENZANGU ANATAKA KUOLEWA.

NDO KUSEMA CKU HZ HAKUNA KUTONGOZANA LAZMA MUOANE LOL!

CTARUDIA WANDUNGU!

Anza kupunguza ukaribu wa kimawasiliano na kingono taratibu mpaka atazoea alafu ndo umpotezee kabisa!!
 
yani kitu ulichokifanya ni kibaya yani sikufagilii kabisa huna adabuuuu kabisa
 
dah ataumia sana dada wa wa2 bt tell her the truth tho it hurts alot yan and stop playing wit feelings za watu emagine ingekuwa ni wewe
 
Habari wadau°°°°°°°°°°

Im a 25yrs old mvulana, nina demu mpya ambae 2na mda wa miez miwili tu, nilmpata kupitia mitandao ya kijamii (FB)

Baada ya kuwa karbu nae kupitia chating and open phone calls Ilifka ctage ya kuonana live, Na kabla ya kuonana 2likuwa 2shatongozana tayar na demu alikuwa amekubali.


Ebwana 2lipokuja kuonana Demu alikuwa wa wastani sana japokuwa ni mrembo na anaxoma chuo kimoja hvi hapa dsm, 2lipeana ma-hugs then ikabak her turn kuja geto.


Ctak ujue nilshakwenda nae mara ngapi but c chn ya mara3, demu kusema kwel amenogewa, na amenipenda sana tena kupita kias, Na mpaka sasa alishafka mpaka maskan kwe2 na mara kbao anaibukaga hata kama mimi cpo, watoto wa maskan anawaletea mizawad kbao c maanish pipi au big G Hapa but v2 vya gharama. Na watu wa maskan wamemkubal na wamemuzoea na wananishawish niweke ndani.

Nimekuwa nikijarbu Kupunguza mawasliano lakn yeye ananisaka kama obama na Osama.

Cku zngne namkatazaga had kuja maskan but unastukia alshatnga.

Why namkataa?

1.Umri wake nahs kama ananidanganya ni mkubwa xana.

2.kabila lake cyo favourite kwangu cpend watu wa that tribe(ctetei ubaguzi lakin)

3.Nina demu wangu mchumba yuko Mwanza ni msomi pia tena nampenda kupita kias, ni mrembo wa kabila langu, na ni miaka 7 leo tangu 2anze nae mahusiano ctaki kumuacha hata iweje, Na cku nikrud mwanza cjui itakuwaje mana nahs ataningundua kuwa nilimsaliti katka mapenzi.

Ombi langu-

Nifanyeje kumkwepa huyu m2? Je ni2pe laini? nimblock fb? je Akija nyumbani? halafu lile kabila ni balaa kwa Unga wa miti?

WADAU NAOMBA USHAURI NATESEKA SANA PIA USINIELEWE VBAYA I'M A GUY WHO CARE CO FUNGUA FUNGUA ZIPU, NILISHNDWA NA TAMAA ZA MWILI NIKAONA NIEGESHE KWA MDA KUMBE MWENZANGU ANATAKA KUOLEWA.

NDO KUSEMA CKU HZ HAKUNA KUTONGOZANA LAZMA MUOANE LOL!

CTARUDIA WANDUNGU!

Tatizo mademu wa siku hizi wamekuwa ving'ang'anizi sana na hawajui kusoma alama za nyakati,Kama upendo upo au haupo hawajui siku hizi ili mradi ushamwmbia ni mzuri.
Kosa ulilolifanya kama haukuwa tayari kumwoa ni:
1.Kumpeleka nyumbani kwako na kumtambulisha ndugu zako hao ambao anawanunulia vizawadi
2.Hukumweleza wazi kuwa una mchumba
3'Inawezekana ulimwahidi utamwoa.

Cha kufanya mwambie wazi kuwa hauko tayari kumwoa,mtabaki kama marafiki tu, pia punguze muda wa kuonana na naye isiwe mara kwa mara ikiwezekana pia umwambie asije nyumbani kwako bila ya wewe kumwambia aje.Epuka kufanya naye tendo la ndoa bila ya kutumia kinga kwa sababu anaweza kukutegeshea ukampa mimba na maadamu nyumbani kwako na ndugu zako anawafahamu itakuwa vigumu kuikataa hiyo mimba.Huo ndi ushauri wangu pole sana nami yalishawahi kunitoke haya haya.
 
saa zingine tunawachezea watoto wa kike na kuwauzi vibaya mpaka inafikia kipindi wanaona wote ni wa tumbo moja mpaka sasa hivi wanaimba ukimpata akupendaye mng'ang'ania, sasa amekung'ang'ania unataka kumkimbia.....not fare tunatesa, saa zingine tujiulize wat if dada yako anafanyiwa vile and vise versa?
mwambie tu am sory, it was a joke
 
Back
Top Bottom