Nina mpenzi nimemchoka na simpendi lakini nashndwa jinsi kumuacha nifanyeje???????

KengeWaKijani

Senior Member
Jun 28, 2012
103
16
Habari wadau°°°°°°°°°°

Im a 25yrs old mvulana, nina demu mpya ambae 2na mda wa miez miwili tu, nilmpata kupitia mitandao ya kijamii (FB)

Baada ya kuwa karbu nae kupitia chating and open phone calls Ilifka ctage ya kuonana live, Na kabla ya kuonana 2likuwa 2shatongozana tayar na demu alikuwa amekubali.


Ebwana 2lipokuja kuonana Demu alikuwa wa wastani sana japokuwa ni mrembo na anaxoma chuo kimoja hvi hapa dsm, 2lipeana ma-hugs then ikabak her turn kuja geto.


Ctak ujue nilshakwenda nae mara ngapi but c chn ya mara3, demu kusema kwel amenogewa, na amenipenda sana tena kupita kias, Na mpaka sasa alishafka mpaka maskan kwe2 na mara kbao anaibukaga hata kama mimi cpo, watoto wa maskan anawaletea mizawad kbao c maanish pipi au big G Hapa but v2 vya gharama. Na watu wa maskan wamemkubal na wamemuzoea na wananishawish niweke ndani.

Nimekuwa nikijarbu Kupunguza mawasliano lakn yeye ananisaka kama obama na Osama.

Cku zngne namkatazaga had kuja maskan but unastukia alshatnga.

Why namkataa?

1.Umri wake nahs kama ananidanganya ni mkubwa xana.

2.kabila lake cyo favourite kwangu cpend watu wa that tribe(ctetei ubaguzi lakin)

3.Nina demu wangu mchumba yuko Mwanza ni msomi pia tena nampenda kupita kias, ni mrembo wa kabila langu, na ni miaka 7 leo tangu 2anze nae mahusiano ctaki kumuacha hata iweje, Na cku nikrud mwanza cjui itakuwaje mana nahs ataningundua kuwa nilimsaliti katka mapenzi.

Ombi langu-

Nifanyeje kumkwepa huyu m2? Je ni2pe laini? nimblock fb? je Akija nyumbani? halafu lile kabila ni balaa kwa Unga wa miti?

WADAU NAOMBA USHAURI NATESEKA SANA PIA USINIELEWE VBAYA I'M A GUY WHO CARE CO FUNGUA FUNGUA ZIPU, NILISHNDWA NA TAMAA ZA MWILI NIKAONA NIEGESHE KWA MDA KUMBE MWENZANGU ANATAKA KUOLEWA.

NDO KUSEMA CKU HZ HAKUNA KUTONGOZANA LAZMA MUOANE LOL!

CTARUDIA WANDUNGU!
 
  • Thanks
Reactions: KUN
Kengewakijani.......haya kenge maji umeyavulia nguo.......Fikiri kabla ya kuamua
 
Kaa naye then umbwambie kuwa umtaki na sababu kuu kuwa una mchumba mwz tatizo lipo wapi ila kama ulimdanganya utamuoa hapo shughuli ipo.
 
Kama humtaki mwambie ukweli!

Umenishangaza kwenye swala la kabila ila nimesha jua wewe ni kabila gani na huyo demu ni kabila gani!

Sijakuelewa uliposema hupendi kufungua zip.

Nafikiria jinsi huyo msichana ana vyoteseka kwa ajili yako na kwa sababu ulimdanganya na ndio maana unashindwa kupata njia ya kumuacha:
 
Kaa naye then umbwambie kuwa umtaki na sababu kuu kuwa una mchumba mwz tatizo lipo wapi ila kama ulimdanganya utamuoa hapo shughuli ipo.

jamaa anataka kumuacha kisanii ndo maana hajui afanyeje, mimi pia ishanikumba iyo na mademu wa fesibuku
 
tafuta jinsi ya kumwambia aelewe ILA SIKU NYINGINE USIJARIBU KABISA KUCHEZA NA MOYO WA MTU.kama ulijua hayo yote ya kabila lake, umri wake na kwamba una mtu mwingine kwa nini uliendelea naye mpaka mkapelekana si chini ya mara tatu.whyyyyyyy??????????

.............................What goes arround comes around, na wewe utafanyiwa hivyo hivyo ulivyomfanyia mwenzio............
 
ulipokua unamtongoza ulimwambia nini?
matokeo ya ulichomuambia ndio, hatma yake ndio waiona sasa.
ila bado nashindwa kuelewa kwa nini unatokea msichana ilihali una mwingine, na mwingine na mwingine dah mtandao mrefu huo.
 
Kaa naye then umbwambie kuwa umtaki na sababu kuu kuwa una mchumba mwz tatizo lipo wapi ila kama ulimdanganya utamuoa hapo shughuli ipo.

Of coz kama nilshamwambiaga but kama swaga ya kumteka ckumanisha, Kwan yeye hana mtu bwana mpaka alipo? NIPEN MODALITY
 
Kama humtaki mwambie ukweli!

Umenishangaza kwenye swala la kabila ila nimesha jua wewe ni kabila gani na huyo demu ni kabila gani!

Sijakuelewa uliposema hupendi kufungua zip.

Nafikiria jinsi huyo msichana ana vyoteseka kwa ajili yako na kwa sababu ulimdanganya na ndio maana unashindwa kupata njia ya kumuacha:

Ha ha ha ha mi kabila gan for example? kwa hyo nifanyeje?
 
Habari wadau°°°°°°°°°°

Im a 25yrs old mvulana, nina demu mpya ambae 2na mda wa miez miwili tu, nilmpata kupitia mitandao ya kijamii (FB)

Baada ya kuwa karbu nae kupitia chating and open phone calls Ilifka ctage ya kuonana live, Na kabla ya kuonana 2likuwa 2shatongozana tayar na demu alikuwa amekubali.


Ebwana 2lipokuja kuonana Demu alikuwa wa wastani sana japokuwa ni mrembo na anaxoma chuo kimoja hvi hapa dsm, 2lipeana ma-hugs then ikabak her turn kuja geto.


Ctak ujue nilshakwenda nae mara ngapi but c chn ya mara3, demu kusema kwel amenogewa, na amenipenda sana tena kupita kias, Na mpaka sasa alishafka mpaka maskan kwe2 na mara kbao anaibukaga hata kama mimi cpo, watoto wa maskan anawaletea mizawad kbao c maanish pipi au big G Hapa but v2 vya gharama. Na watu wa maskan wamemkubal na wamemuzoea na wananishawish niweke ndani.

Nimekuwa nikijarbu Kupunguza mawasliano lakn yeye ananisaka kama obama na Osama.

Cku zngne namkatazaga had kuja maskan but unastukia alshatnga.

Why namkataa?

1.Umri wake nahs kama ananidanganya ni mkubwa xana.

2.kabila lake cyo favourite kwangu cpend watu wa that tribe(ctetei ubaguzi lakin)

3.Nina demu wangu mchumba yuko Mwanza ni msomi pia tena nampenda kupita kias, ni mrembo wa kabila langu, na ni miaka 7 leo tangu 2anze nae mahusiano ctaki kumuacha hata iweje, Na cku nikrud mwanza cjui itakuwaje mana nahs ataningundua kuwa nilimsaliti katka mapenzi.

Ombi langu-

Nifanyeje kumkwepa huyu m2? Je ni2pe laini? nimblock fb? je Akija nyumbani? halafu lile kabila ni balaa kwa Unga wa miti?

WADAU NAOMBA USHAURI NATESEKA SANA PIA USINIELEWE VBAYA I'M A GUY WHO CARE CO FUNGUA FUNGUA ZIPU, NILISHNDWA NA TAMAA ZA MWILI NIKAONA NIEGESHE KWA MDA KUMBE MWENZANGU ANATAKA KUOLEWA.

NDO KUSEMA CKU HZ HAKUNA KUTONGOZANA LAZMA MUOANE LOL!

CTARUDIA WANDUNGU!

Pu.....vu zako...
 
tafuta jinsi ya kumwambia aelewe ILA SIKU NYINGINE USIJARIBU KABISA KUCHEZA NA MOYO WA MTU.kama ulijua hayo yote ya kabila lake, umri wake na kwamba una mtu mwingine kwa nini uliendelea naye mpaka mkapelekana si chini ya mara tatu.whyyyyyyy??????????

.............................What goes arround comes around, na wewe utafanyiwa hivyo hivyo ulivyomfanyia mwenzio............

Ukwel mkuu but c unajua ukame kaka, Nilikuwa na miez 7 u cant imagine.
 
ulipokua unamtongoza ulimwambia nini?
Matokeo ya ulichomuambia ndio, hatma yake ndio waiona sasa.
Ila bado nashindwa kuelewa kwa nini unatokea msichana ilihali una mwingine, na mwingine na mwingine dah mtandao mrefu huo.

tulizana.
 
Pu.....vu zako...

Kama wewe ni mwaminifu Chukua jiwe niponde.......But ukwel wako unaujua wewe, me nimekuwa open, but kla mmoja ana masibu yake na 2kiyaweka waz weng 2taibika but frankly speaking Nina demu mmoja na huyu Mpya wa miez miwil bada ya shetan kuniteka.
 
Back
Top Bottom