Ung'eng'e unapanda lakini?
Umeamkaje konnie? Ninakumissoo!afu Bishanga, ujue na mie nataka mzungu?
Paka basi karolaiti uweke na kalikiti ili uwe mzungu, sipendi ung'eng'e lakini.
Kuhusu ung'eng'e hebu nenda hata pale forodhani zenji uone wale marasi wanavyoongea ung'eng'e wa kubakia wazungu.
Kaunga, kwani wee ni chakaramu au saint? Na The Great Virgin of all Times anasemaje?
Mie ni saint, ni yes sir tu.
Umeamkaje konnie? Ninakumissoo!
Usually a chakaramu, but ocassionally a saint! He secretly like when l am a chakaramu though he pretent to reprimand me!
Come on Kongosho being a yes sir type, u gotta be joking, labda yes The Boss tu lkn kungine nina mashaka!
Jitahidi kubadilisha mtazamo, kama kina yes sir wabongo wamekushinda sasa kina equal rights sidhani kama utawaweza. You need an overhaul ya mtazamo wako wa wanawake na nafasi yao kwenye mahusiano.
Pia tabia ni ya mtu binafsi so pamoja na general observation ya hapo juu, bado waweza pata chakaramu au a saint! Good luck!
nimeamka wima, vipi nguvu za kike zimerudi, namaanisha zila za kwendea Bamboo?
Hongera ndugu hao pia wanamapungufu yao. Muulize kama anakaka, I will be happy if you can hook me up!
Twenzetu samaki samaki leo.
hahahah,nita ku hook up kama upo single ondoa shaka.vipi nawe umeona ma sharo hawa wa kibongo hawana ishu nini?ki ukweli hilo ni lengo langu.Nina dada yangu kaolewa na White wanaishi poa kabisa na chotara wao.Hope ur ready to mingle.