Kassym
Member
- Dec 2, 2018
- 6
- 9
Ninayo milioni 6 kwa ajili ya biashara. Nahitaji partner wa kufanya nae biashara. Partner ni lazima awe tayari kuwekeza kiasi hicho hicho cha pesa kwenye biashara. Yaani jumla tuwe na milioni 12.
AINA YA BIASHARA
Nipo tayari kufanya biashara yoyote kati ya hizi;
1) Alluminium
2) Kuuza spare za pikipiki na bajaji
3) Welding
4) Ufundi simu na kuuza vifaa vya simu
5) Car wash
6) Njoo na wazo lingine
KWANINI NAHITAJI PARTNER?
Sababu hizi zinafanya nihitaji partner
1) Kuongeza mtaji
2) Kuongeza msimamizi mwingine wa biashara mwenye uchungu na nia ya dhati ya kuiendeleza kwa kuwa atakuwa ameweka pesa yake
Aliye na mtaji kama huo au chini kidogo ya hapo na yupo tayari kuwekeza pamoja na mimi tafadhali karibu pm au hapa kwenye uzi. Tutatengeneza makubaliano ya kisheria kabla ya kuanza biashara. Wale wenye maoni na ushauri pia nawakaribisha. Nipo Dar.
AINA YA BIASHARA
Nipo tayari kufanya biashara yoyote kati ya hizi;
1) Alluminium
2) Kuuza spare za pikipiki na bajaji
3) Welding
4) Ufundi simu na kuuza vifaa vya simu
5) Car wash
6) Njoo na wazo lingine
KWANINI NAHITAJI PARTNER?
Sababu hizi zinafanya nihitaji partner
1) Kuongeza mtaji
2) Kuongeza msimamizi mwingine wa biashara mwenye uchungu na nia ya dhati ya kuiendeleza kwa kuwa atakuwa ameweka pesa yake
Aliye na mtaji kama huo au chini kidogo ya hapo na yupo tayari kuwekeza pamoja na mimi tafadhali karibu pm au hapa kwenye uzi. Tutatengeneza makubaliano ya kisheria kabla ya kuanza biashara. Wale wenye maoni na ushauri pia nawakaribisha. Nipo Dar.