Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Wadau hasubuhi ya leo nilisikiliza kipindi cha mahojiano na Redio One TBC kuhusu uchaguzi Arumeru!!! Nikamsikia msimamizi wa uchaguzi wa tume akisema kwamba baada ya kupiga kura vituoni KURA ZITAPELEKWA MAKAO MAKUU YA HALIMASHAURI KUHESABIWA!!!! Sasa wadau mashaka yangu yananzia hapo, hivi ni kweli alivyosema huyu mkubwa, je ni kwa nini kura zisihesabiwe vituoni na kupata matokeo badala ya kukusanywa kwenye center moja???????
Mbona Tanzania tunangangania mfumo wa zamani wa uchaguzi, kuna taabu gani kuhesabu kura na kubandika matokeo kwenye vituo ili watu wajue matokeo ya kura zao?????? Je hiyo haiwezi kuwa ni njia ya kuiba na kuweka kura za bandia??? Labda sikumuelewa vizuri huyu msimamizi??? Naomba kueleweshwa jamani!!!!!
Mbona Tanzania tunangangania mfumo wa zamani wa uchaguzi, kuna taabu gani kuhesabu kura na kubandika matokeo kwenye vituo ili watu wajue matokeo ya kura zao?????? Je hiyo haiwezi kuwa ni njia ya kuiba na kuweka kura za bandia??? Labda sikumuelewa vizuri huyu msimamizi??? Naomba kueleweshwa jamani!!!!!