kamati
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 240
- 109
Ndugu mimi binafsi ni miongoni mwa waombaji ila kun mtu mmoja anaitwa BENEDICTO MASHAKA ZUMBA list no 47 yeye anadaiwa amesoma mbeya universty coz ya psychology ila cha kushangaza cozi hyo haipo na hata katika list of graduands hayupo check www.must.ac.tz list of graduands hayupo wala coz hyo haipo na chuon hatambuliki kwani mimi nimegraduate hapo kwa hyo tunaenda wapi ila jina limetoka na ameonekana kasoma must psychology coz za mbeya university ni archtecture, BBA, CIVIL, COMPUTER science electrical and mechanical na hata kwa diploma ni hizo hizo