Maswali ya kitoto sana. Kila mlinzi anakuwa na specific kind of skills. After all ana haki ya kujilinda.Na kwanini Mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi wake akiwa na Bilicanas?
Je, hao makomandoo wangefanya kazi zipi kwake ambazo zingekuwa mpya tofauti na maisha yake ya siasa zaidi ya miaka ishirini?
Je, wajua komandoo mmoja anaweza kuwa na athali kubwa kwa nchi ambayo raia wengi hawana uelewa wowote wa kivita?
Hawakuwepo jeshini. Walishatoka hata kabla ya mbowe kuwatafuta.Luteni Urio amekosea kuwalengesha vijana wa watu wakaacha ajira zao na kuwatumbukiza ktk " mipango " ya Mbowe.
Mbowe alitakiwa achomekewe undercover police ambao wangeenda naye taratibu mpaka wamkamate kukiwa na ushahidi usio na mashaka.
Brother unahitaji elimu sana. Hizo ni kamba za zamani sana. Hakuna kitu kama hiko in reality.Komando mmoja ni sawa na wanajeshi wa kawaida 100,sasa komandoo wanne sini sawa na wanajeshi 400?.
Hivi unakijua vzr kikosi cha kuteka na kutesa na kuuwa kilichokuwa kinaratibiwa na Bashite? Uliona alama alizokuwa nazo Roma mgongoni? Uliona kidole chake kilivyovunjwa?Na kwanini Mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi wake akiwa na Bilicanas...
Sasa hao akina bwire wenyewe wanakamatwa kama kuku nao useme ni walinzi wa kuzuia kikosi kazi cha nchi?Hivi unakijua vzr kikosi cha kuteka na kutesa na kuuwa kilichokuwa kinaratibiwa na Bashite? Uliona alama alizokuwa nazo Roma mgongoni? Uliona kidole chake kilivyovunjwa? Hivi ni Nani alizuia walinzi wasiende lindo siku Lissu anashambuliwa ili kumuua mchana kweupe? Ulitaka tukio gan liwapate chadema na viongoz wake ndo wajiongeze kuwa na walinzi wabobevu tena kipindi cha kuelekea uchaguzi na mgombea wao mhanga wa uhalifu wa kidola.
Kama Kingai na Urio wametoka kapa kiasi hicho,huko mbele ni aibu isiyopimika.Sijuwi mtaficha wapi nyuso zenu upande wa utetezi wakianza kutoa ushahidi wao.Bado mashahidi zaidi ya 12 wanakuja,subiri kidogo.
Bado wahudumu wa mahoteli mipango ilipokuwa ikipangwa.
Hiyo ya urio ni Primarily evidence....
Bado exhibition.....
Na huko serikalini kuna makomando wangapi?Komando mmoja ni sawa na wanajeshi wa kawaida 100,sasa komandoo wanne sini sawa na wanajeshi 400?.
Hata kama kumbuka Urio kasema walikua wawili tu au waje kutengua ushahidi wake hadi sa ivi hamna kesi hapoBado mashahidi zaidi ya 12 wanakuja,subiri kidogo.
Bado wahudumu wa mahoteli mipango ilipokuwa ikipangwa.
Hiyo ya urio ni Primarily evidence....
Bado exhibition.....
Sawa bint Ccm..Baada ya kuona amekuwa mwenyekiti wa kudumu Mboe aliamua kukigeuza chama kama kampuni yake binafsi na kuanza kukitumia chama kama kichaka cha kupanga mipango ya kihalifu dhidi ya Serikli/nchi.
tulimshauri mara kadhaa ang'atuke lkn aliye diriki kugombea nafasi hiyo aligeuka kuwa adui wake!! kumbe alikuwa na agenda za kimafia dhidi ya serikali.
sasa yamemkuta.
Nimekupuuza sana nisamehe bureNa kwanini Mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi wake akiwa na Bilicanas?
Je, hao makomandoo wangefanya kazi zipi kwake ambazo zingekuwa mpya tofauti na maisha yake ya siasa zaidi ya miaka ishirini?
Je, wajua komandoo mmoja anaweza kuwa na athali kubwa kwa nchi ambayo raia wengi hawana uelewa wowote wa kivita?
Achana na hiyo,UKWELI ni huu,Mbowe na Urio walikuwa na urafiki wa karibu kwa muda mrefu sana,baada ya Ile Mbowe kushambuliwa Dodoma Urio aliumia Sana akamshauri amtafutie walinzi watakaomsaidia yeye na Chama kwa ujumla,Mbowe akaafiki USHAURI huo na kweli Urio akawatafuta hao akina Adamoo,by that time ilikuwa kwa Nia njema tu.Uimara wa ULINZI wa Mbowe uliwashtua sana akina sabaya ndipo wakaunda timu kuwateka hao walinzi,baada ya kutekwa na kuteswa sana ndipo kina Adamoo wakajisema wao ni akina nani na wamefikaje kwa Mbowe,Kusikia hivyo URIO akatafutwa faster na kupewa kipondo Cha haja na kulazimishwa aseme hayo anayoyasema.Ila angeonekana shujaaa Mahakamani kama angeamua kuwa mkweli,hata hao akina Adamoo wangekubali kusema kwamba Mbowe aliwashawishi wafanye UGAIDI Leo wangekuwa nje ila walibaki na msimamo wao na hapo ndipo unapoona wale ndio makomando wa kweli.ILA HAKI YA MUNGU HIYO TIMU INAENDA MOTONI.Dennis Urio
Ni mwanajeshi,ni shahidi mwenye maslahi pande zote aliyetolewa kafara na waliomuamini baada ya kujikuta hawana kesi yenye mshiko.
Dennis Urio kama kweli aliota taarifa kwa DCI basi alistahili kwanza kuwekwa katika WITNESS PROTECTION YAANI alindwe kama shahidi.Denis URIO hakupaswa kuwa shahidi katika kesi kama hakuwa analindwa na kama alikuwa ni chambo.
Kwa mtazamo wangu ningewaona POLISI wana akili kama wangempa MBOWE Kanya BOYA mmoja ambaye angekuwa kwenye DEEP COVER kwa ajili ya kutafuta ushahidi na sio kumtumia DENIS na makomandoo wengine ambao hawakuwa na HATIA.
Dennis URIO ameonekana msaliti kwa MBOWE,Kwa Wanajeshi wenzake ambao walikuwa na maisha yao akawafanya chambo,Kwa marafiki zake, kwa watanzania na kwa CHADEMA. Kwa nini? Kwa sababu ya UZEMBE wa JESHI LA POLISI. UZEMBE wa KINGAI, UZEMBE wa DCI BOAZ.n.k.
Swali la kujiuliza ni JE DENIS URIO alifanya kosa kwenda kuripoti au waliokosea ni DCI na KINGAI kwa namna walivyoshughulikia jambo hili?Jambo kla UGAIDI sio PETTY CRIME lilihitajika kushughulikiwa na TAASISI zinazohusiana na USALAMA na kwa umakini mkubwa.
SASA Tunamuona Dennis kama msaliti na shujaa ambaye ametolewa kafara na upande wa Jamhuri.
Usitamani kuwa DENNIS ndio maana wakati mwingine watu wanakataa kuisaidia POLISI kwa sababu wanachojua POLISI ni kubambikia watu kesi, KUIBIA watu, KUUA watu na kukusanya rushwa.
Mungu Ibariki Tanzania
Nani kakueleza Komandoo mmoja ni sawa na wanajeshi 100. hizi ni theory za vichochoro hazina uhalisia bro .Komando mmoja ni sawa na wanajeshi wa kawaida 100,sasa komandoo wanne sini sawa na wanajeshi 400?.