Taylor Gang Jr
Senior Member
- Jul 2, 2013
- 131
- 7
habari wakuu...nina tsh laki 5 kamili,nipo dar es salaam
nahitaji cmu original...clone ssihitaji
isiwe na matatizo yoyote
nina laki 5 kamili...
#sihitaji tecno,itel,huawei
ni pm au nichek kwa namba,0714609907
Habari wakuu...nina tsh laki 5 kamili,nipo dar es salaam
Nahitaji cmu original...clone ssihitaji
Isiwe na matatizo yoyote
Nina laki 5 kamili...
#sihitaji tecno,itel,huawei
Ni PM au nichek kwa namba,0714609907
Mimi nakupa Sony m3 orgnal
Hapa hamna mnunuaji wala nn. Laki 5 aje humu? Thubutuuuu
Nenda dukan utapata simu mpya kama sony xperia z 400k, s4 au s5 , utapa samsung note unayotaka.
Kama unapenda used poa.
Nenda dukan utapata simu mpya kama sony xperia z 400k, s4 au s5 , utapa saßmsung note unayotaka.
Kama unapenda used poa.
Uyo walas ba mbabaishaji...ata s4 brand new dukani hupati kwa laki 5....ivi anaijua simu genuine kweli huyo?