swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Kama tumeanzisha maonesho ya kivita kama maonesho ya viazibna mihogo siku ya wakulima Nane Nane inatia shaka sana.
Tumekuwa tukiambiwa mambo ua jeshi ni siri leo hadharani.Tunajiamini kiasi gani?
Wengine watadema oohh ni kawaida au watasema zinaoneshshwa zile ndogo ndogo?
Je ktk vita kuna silaha ndogo.Rwanda mwaka 1994 walipigana kwa sehemu kubwa kwa kuia mapanga na watu takrinani 800000 (watusi walikufa) na wajutu 200000(wahutu) walikufa.
Je kwa mfano huo vita ina silaha ndogo au kubwa ktk mantiki ya Timing ya kanuni za vita? Au nani hasa analengwavktk maonesho haya?
Tumekuwa tukiambiwa mambo ua jeshi ni siri leo hadharani.Tunajiamini kiasi gani?
Wengine watadema oohh ni kawaida au watasema zinaoneshshwa zile ndogo ndogo?
Je ktk vita kuna silaha ndogo.Rwanda mwaka 1994 walipigana kwa sehemu kubwa kwa kuia mapanga na watu takrinani 800000 (watusi walikufa) na wajutu 200000(wahutu) walikufa.
Je kwa mfano huo vita ina silaha ndogo au kubwa ktk mantiki ya Timing ya kanuni za vita? Au nani hasa analengwavktk maonesho haya?