stacia
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 748
- 1,432
Vipi kama kuna kazi ya mkataba mkoa mwingine, huwezi kwenda?ili utoke nnje ya mkoa lazima uwe umejiweka vizuri
Vipi kama kuna kazi ya mkataba mkoa mwingine, huwezi kwenda?ili utoke nnje ya mkoa lazima uwe umejiweka vizuri
naenda hata sasa hiviVipi kama kuna kazi ya mkataba mkoa mwingine, huwezi kwenda?
Basi nitumie namba yako pmnaenda hata sasa hivi
nishakutumiaBasi nitumie namba yako pm
Salaam kwa wana JF wote, naomba mwenye kibarua aniunganishe tafadhali nina miaka 26, nina diploma ya Accounting, na degree ya Accounting and finance.
Nipo mkoa wa Arusha, hata internship nafanya hata kusogeza mafile tu hamna tatizo, hata kwa siku mkinipa 2000 ni sawa tu kama nitakuwa nafanyia mkoa wa Arusha ndugu zangu najua mnajua hustle tunazo pitia ambao hatuna ajira na kukaa nyumbani ni shida unaweza lala hata njaa.
NISAIDIENI WAKUU
Kuna mtu nimeona kakoment internship arusha nikiiona hiyo post nitakuitabado natafuta kazi
sawa mkuuKuna mtu nimeona kakoment internship arusha nikiiona hiyo post nitakuita
🙏🙏
Na hii ndiyo shida iliyopo katika mfumo na sera za elimu yetu hapa nchini...tunaandaliwa kupata kazi tu sasa sijui hizo kazi nani anatupatia..Salaam kwa wana JF wote, naomba mwenye kibarua aniunganishe tafadhali nina miaka 26, nina diploma ya Accounting, na degree ya Accounting and finance.
Nipo mkoa wa Arusha, hata internship nafanya hata kusogeza mafile tu hamna tatizo, hata kwa siku mkinipa 2000 ni sawa tu kama nitakuwa nafanyia mkoa wa Arusha ndugu zangu najua mnajua hustle tunazo pitia ambao hatuna ajira na kukaa nyumbani ni shida unaweza lala hata njaa.
NISAIDIENI WAKUU