Nina 300,000 nahitaji note2 au s3

Naomba nikuuzie samsung tab 1 kwa bei hiyo kama utaridhia kaka.
Charger yake ndio imeharibika na charger yake ni sawa na ile ya samsung note 10. Tab yenyewe haina tatizo. Ina ukubwa wa inch 7. Kama utapenda 0759960313
 
Naomba nikuuzie samsung tab 1 kwa bei hiyo kama utaridhia kaka.
Charger yake ndio imeharibika na charger yake ni sawa na ile ya samsung note 10. Tab yenyewe haina tatizo. Ina ukubwa wa inch 7. Kama utapenda 0759960313
sorry ,nahitaji note 2 au s3
 
Arcad Atmos umefanikiwa? Kama kuna mtu unamfaham niunganishe nae nataka moja kati ya hzo kitu
 
Arcad Atmos umefanikiwa? Kama kuna mtu unamfaham niunganishe nae nataka moja kati ya hzo kitu

Kuna hii note 2 inauzwa 320000
Betri ndiyo haikai na chaji mdaa mrefu.
 

Attachments

  • 1412920775191.jpg
    1412920775191.jpg
    93.1 KB · Views: 354
  • 1412920843382.jpg
    1412920843382.jpg
    80 KB · Views: 323

Similar Discussions

Back
Top Bottom