Rutashubanyuma kweli umeongea lakini kumbuka uvumilivu huwa una mwisho na hasa kama hakuna mabadiliko kila siku au hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Huyu jamaa angejaribu kumpuuza kwa muda asiumizwe na mambo yake . Mara nyingi akina mama wakiona wanapuuzwa na waume zao hujirudi lakini kama unamyenyekea kuna siku anamfulia pants by command.ukisha kumwoa huwezi kumwacha kwa sababu za utani utani kama hizo.........................sababu za kumwacha ni kama una ushahidi usiopingika kuwa ni mwasherati tu.............hayo mengine uliaapa kuwa utayavumilia.....................endelea kuyavumilia huku ukisali na kufunga.............ukishinda mtihani huo Muumba atakuzawadia maradufu sana................ukishindwa huo mtihani Muumba takutumia maadui zako ambao utawatumikia..........................sura zao zitakuwa murua lakini roho zao zitakufanya umkumbuke huyu ambaye umemtelekeza..........so put up and shut up as well..........................you are a man..............are you not?
amesema yuko ughaibuni kiswahili huko ni nadraMwl wa kiswahili
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mwl wa kiswahili
<br />kwani mkeo ni kabila gani na je mmefunga ndoa au mmesogezana hukohuko yaani mmeoana wote mkiwa nje?