Carlssin
Member
- Oct 22, 2017
- 44
- 70
- Thread starter
- #101
Itakuja kula kwako maana hutajua D kapata taarifa saa ngapi na jinsi anavojitoa kwako atamtafta M kuna watu nawajua yaliwatokea ka yako mwisho kakosa yote kwahyo kumuandaa M kisaikolojia muhimu. Mficha maradhi pia inaonyesha hao wote wawatamani huna msimamo amua moja au huyo M uzuri umekuzuzua. Tena wakijua unawaxhaganya wewe utalia mno
Upo sahihi mkuu. Asante.