Sidhani kama ni kweli , labda haya magazeti uchwara yamemnukuu vibayambunge fisadi nimrod mkono amejitangazia kuwa mbunge wa maisha musoma vijijini pia ameahidi butiama kuwa kama wash dc
Sidhani kama ni kweli , labda haya magazeti uchwara yamemnukuu vibaya
Mkuu Jero ili kuweza.kuchangia kwa uzuri zaidi itabidi kesho.atoe kauli kuthibitisha ama kukanusha , kwa maana hiki ni kituko cha karneni kweli kasema!!,yani aisee madikteta yapo hadi majimboni?Watz tumekwisha,eti wanasema kuna utawala bora na demokrasia ndo hv?Kazi ipo.
Peoples Power maana yake ni nini mkuu naomba unielimisheKatika wabunge wanaojenga ushawishi kwa wananchi wake huyu mzee anajitahidi kiasi chake. Ila wakati tulionao ni lazima mabadiliko yafanyike hakuna jinsi. 2015 for Peoples Power!
Ila namkubali huyo mzee kwa juhuhdi anazofanya kuendeleza jimbo lake. Magamba wote wangekuwa kama huyo mzee tungekuwa mbali sana
Probably ndie mbunge bora kabisa kuwa kutokeaLicha ya kutowapenda Magamba na licha ya kwamba watu wa Mkoa wa Mara wana damu ya kimageuzi kiasilia na licha ya kwamba jimbo hilo lilishawahi kuchuliwa na NCCR Mageuzi na Mbunge akawa Balozi Paul Ndobho, lakini kwa hakika kwa sasa hakuna mwenye uwezo wala ushawishi wa kumng'oa Nimrod Mkono katika jimbo lile. Huu ndio ukweli mchungu mnapaswa kuufahamu.
Nimrodi Mkono ndiyo Mbunge bora kabisa kuwahi kupatikana katika jimbo la Musoma vijijini. PERIOD.