Exactly,nimekugongea thanks hii ingekuwa kule jokes ni part 2 ya ile joke 'kwanini unawasha sigara dukani kwangu', 'ni kwasababu nimenunua hapa', 'kuna watu wananunua condom lakini huwaoni wakidin**na hapa'MIMI:Jirani salama lkn? Nilikuona ukitokea hospital vipi unaumwa au? Akanijibu.
JIRANI:mie mwenyewe nimekuona unatokea makaburini kwani umekufa au?
Mkuu samahani sana lakini hii hadithi inanipa mashaka kidogo. Si mara ya kwanza kulisikia kauli hii; sikumbuki wapi lakini ina"sound" kama "joke" vile.