Nimfanye nini huyu mwanamke?

Acha ushamba bro .. dunia ya saivi kila mtu na mishe zake hao ndugu zake wakatie acha mazoea nao alafu ishi kibabe usiendeshwe na uchi wa mwananmke
 
Habari za jioni mabibi na mabwana, kwanza nijambo lakujivunia Christmas tumeimaliza salama na naamini mwaka mpya wote tutafika salama mungu yu nasi.

Niende kwenye mada bila kupoteza muda mimi nimeoa na ndoa yangu ina miaka kadhaa. lakini kuna tabia ambazo mke wangu anazo nashindwa kuzielewa. Mke wangu amekuwa na tabia ya kuleta ndugu zake nyumbani na kuwa shawishi waniombe hela hasa dada zake. na amekua akifanya haya kila anapoona nimehifadhi kiasi cha fedha chumbani. Na tokea nigundue hili niliamua kuwa nina zificha pesa zangu. Sasa kisanga kimeanza tarehe 25 Christmas ambapo alienda kwenye mishe zake lakini alirudi mapema na alikuja na dadake na rafiki yake ambapo alinipigia simu nakuniuliza nilipo. Nikamwambia niko home najiandaa kutoka akaniambia nimsubiri yuko karibu na hazikupita dk5 wakawa wamefika. Nakumbuka tulisamiana tukajuliana hali za siku mbili tatu. Nikaaga ili niondoke ndipo shemeji yangu huyo akaniuliza kama kunitania ya kwamba kwahiyo ndio naondoka kwa sababu nimewaona?

Nikasema hapana hata hivyo nilikuwa na mpango wa kutoka. Hapo hapo mke wangu akadakia akiwa chumbani akisema akupe hela ya Christmas nikajibu kwa LEO sina. mke wangu akaendelea kusisitiza ya kwamba mm ni muongo pesa ninazo.. dah nikajiuliza sasa huyu mwanamke anani chukuliaje? na hicho kitendo sikukipenda na si mara moja anafanya huu ujinga ndipo nilipo mwambia kama anayo ampe nitamrudishia akasema sawa, basi mimi nikawa nimeondoka. sasa juzi asubuhi alinikumbusha akaniambia eti alimpa eflu20,

Ila nikamwambia tabia yako sio nzuri inabidi tukae chini tuzungumze. Nakumbuka alinijibu huku akitoka njee eti kwahiyo natabia mbaya kisa ndugu zangu kukuomba pesa ya sikukuu? eti mbona unapo watumia pesa wazazi wako sisemi? Tena kwa sauti na majirani wanasikia. Aisee nilijisikia vibaya nikamuitia ndani nikamlamba kibao na nikamwambia na pesa sikurudishii maana hizi ni dharau,

Unaongeleaje mambo yangu mimi na wewe njee na kwa faida gani? nikaondoka na nilirudi usiku sana,

Sasa leo ndio nimemuona nimjinga kiasi gani amedamka mapema nakunikumbusha ile pesa sikumjibu. mwisho nikaona anachukua sim nakumpigia yule dadake akamwambia eti iyo tabia yakupenda kuomba omba pesa waache eti mimi nimemwambia. kwanzia leo wasiwe wananiomba chochote na akamdai na ile elfu 20 amrudishie ikabidi dada mtu amuombe mume wake na wakamtumia kwenye airtel money,
nilipigwa na butwaa wala siku ongea chochote

Nasikia wamepigiana simu wote kwa kilichotokea. kwahiyo kaamua kunichoma kwa ndugu zake hadi ukweni

Mkeo ni mzaramu? Samahani kwa kuuliza. Alafu nahisi unaishi na mteja wa Mirembe.
 
Ushawahi kujaribu kujiuliza sex unayofanya wewe inamuathiri vipi mtoto wako mchanga aliyepo kilometer nyingi toka ulipo??

Kwa ufupi hakuna kitu kama icho mkuu.
Chief hili. Nadhani linahitaji kabisa uzi wake maana hapa ndio wanaume wengi tunapigwa na kitu kizito.
Kwa maana najua madhara zaidi yapo kwa mama anayenyonyesha sasa na sisi wanaume tunaingiaje hapo?..
 
Hivi unajuana vipi na mwanamke mpaka unamuoa wakati akili hana na hujui?

Mwanamke ambaye hana akili unamjua siku ya kwanza tu ukiongea nae, huyo wako ni kilaza na hapo haoni kosa lake.

Mwanamke kupaza sauti kuliko wewe anapoongea ni dalili mojawapo ya kutokua na akili, dalili nyingine nafudisha kwenye darasa langu la online
 
Chief hili. Nadhani linahitaji kabisa uzi wake maana hapa ndio wanaume wengi tunapigwa na kitu kizito.
Kwa maana najua madhara zaidi yapo kwa mama anayenyonyesha sasa na sisi wanaume tunaingiaje hapo?..
Kwa mama anaenyonyesha Lina uhusiano makubwa sabu tendo hufanya consumption ya protein na energy Ivo mama Kuna namna atazalisha maziw yenye protein chache kwa afya nzur ya mtoto lakn kwa upande WA baba hakuna uhusiano
 
wanataka kuleta uzungu kwangu
Chief usije ukatoa hela! Hiyo tabia inayooneshwa na mkeo ni mbaya sana. Mtu anaanza kusema mbona huwa unawatumia wazazi wako...aiseeh hapo mimi angekula kipigo na kumwondoa sipendi ujinga na kuleteana stress maisha menyewe mafupi haya na nilizaliwa peke yangu kwanini mtu baki akupe stress kwa mgongo wa ndoa.
Hizo pia ni sababu wanaume wengi wanatangulia kufarik wanaacha wake zao wakila bata..
 
Chief hili. Nadhani linahitaji kabisa uzi wake maana hapa ndio wanaume wengi tunapigwa na kitu kizito.
Kwa maana najua madhara zaidi yapo kwa mama anayenyonyesha sasa na sisi wanaume tunaingiaje hapo?..
Hapo ndio nashangaa mkuu. Hata kwa upande wa wanawake napo sidhani kama kuna madhara ya Moja kwa Moja yanayoenda kwa mtoto
 
Habari za jioni mabibi na mabwana, kwanza nijambo lakujivunia Christmas tumeimaliza salama na naamini mwaka mpya wote tutafika salama mungu yu nasi.

Niende kwenye mada bila kupoteza muda mimi nimeoa na ndoa yangu ina miaka kadhaa. lakini kuna tabia ambazo mke wangu anazo nashindwa kuzielewa. Mke wangu amekuwa na tabia ya kuleta ndugu zake nyumbani na kuwa shawishi waniombe hela hasa dada zake. na amekua akifanya haya kila anapoona nimehifadhi kiasi cha fedha chumbani. Na tokea nigundue hili niliamua kuwa nina zificha pesa zangu. Sasa kisanga kimeanza tarehe 25 Christmas ambapo alienda kwenye mishe zake lakini alirudi mapema na alikuja na dadake na rafiki yake ambapo alinipigia simu nakuniuliza nilipo. Nikamwambia niko home najiandaa kutoka akaniambia nimsubiri yuko karibu na hazikupita dk5 wakawa wamefika. Nakumbuka tulisamiana tukajuliana hali za siku mbili tatu. Nikaaga ili niondoke ndipo shemeji yangu huyo akaniuliza kama kunitania ya kwamba kwahiyo ndio naondoka kwa sababu nimewaona?

Nikasema hapana hata hivyo nilikuwa na mpango wa kutoka. Hapo hapo mke wangu akadakia akiwa chumbani akisema akupe hela ya Christmas nikajibu kwa LEO sina. mke wangu akaendelea kusisitiza ya kwamba mm ni muongo pesa ninazo.. dah nikajiuliza sasa huyu mwanamke anani chukuliaje? na hicho kitendo sikukipenda na si mara moja anafanya huu ujinga ndipo nilipo mwambia kama anayo ampe nitamrudishia akasema sawa, basi mimi nikawa nimeondoka. sasa juzi asubuhi alinikumbusha akaniambia eti alimpa eflu20,

Ila nikamwambia tabia yako sio nzuri inabidi tukae chini tuzungumze. Nakumbuka alinijibu huku akitoka njee eti kwahiyo natabia mbaya kisa ndugu zangu kukuomba pesa ya sikukuu? eti mbona unapo watumia pesa wazazi wako sisemi? Tena kwa sauti na majirani wanasikia. Aisee nilijisikia vibaya nikamuitia ndani nikamlamba kibao na nikamwambia na pesa sikurudishii maana hizi ni dharau,

Unaongeleaje mambo yangu mimi na wewe njee na kwa faida gani? nikaondoka na nilirudi usiku sana,

Sasa leo ndio nimemuona nimjinga kiasi gani amedamka mapema nakunikumbusha ile pesa sikumjibu. mwisho nikaona anachukua sim nakumpigia yule dadake akamwambia eti iyo tabia yakupenda kuomba omba pesa waache eti mimi nimemwambia. kwanzia leo wasiwe wananiomba chochote na akamdai na ile elfu 20 amrudishie ikabidi dada mtu amuombe mume wake na wakamtumia kwenye airtel money,
nilipigwa na butwaa wala siku ongea chochote

Nasikia wamepigiana simu wote kwa kilichotokea. kwahiyo kaamua kunichoma kwa ndugu zake hadi ukweni
Wewe na mkeo bado mna akili za kitoto yaani hamjakua. Hicho kitu wewr ulipaswa kukipotezea kama utani but wewe ni lijinga hujajua namna ya kuishi na kiumbe mwanamke. Ndoa yako inaenda kuvunjika kwa sababu ya kukosa hekima
 
Back
Top Bottom