Nimfanyaje huyu?

Wasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada

Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.

Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .

Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.

Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .
Acha ushamba Nan akupende dunia ya Sasa km vp mvungie tu
 
Pa1

Pamoja sana, nipe mbinu hata za kumkula kimasihara nijipongeze kwa usumbufu
Umemnunulia nguo vizuri

Nunua nguo nyingine

Piga picha nguo zote kali ulizomnunulia mtumie whatsapp

Halafu mkaribishe aje kuzichukua ila hakikisha umenunua chumba cha guest house ya hadhi na yenye utulivu analika huyo
 
Jamaa yuko na demu zaidi ya mwaka, anamtoa out, demu anamuita "baby" hapo kuna haja gani ya kuendelea kumtongoza demu kama huyo? Huyo ni kushika mkono tuu unachukua chumba lodge iliyo karibu unamaliza mchezo.
Kwa maelezo ya sasa hivi nakubaliana na wewe...
Hapo naona kabisa kwa mbili imeisha kwa mbili imeisha 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 
Aisee
watoto wa siku hizi mnashida sana, yaani mpaka kutongoza mnataka wazee wenu tujishughulishe na huko...
Lakini ni kweli, papa kaleta changamoto sio kidogo,
Ni hivi, kasome kitabu cha NGOSWE.......
Wanasema ya "Ngoswe", muachie "Ngoswe"

1703712904725.png
 
Wasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada

Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.

Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .

Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.

Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .🙏
Mkuu bado unalamba KAMASI?
 
Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .🙏
Nilikuwa naonaga watu wanaandika "I don't want peace, I want violence" nilikuwa nachukulia kama meme tu, ila kupitia wewe ndio naamini kumbe zile sio meme tu, mpo watu wa hivyo.


Demu ameshakwambia mara kadhaa kuwa ana mtu wake, umefosi weee mpaka anataka akupe nafasi ya kuwa mchepuko ila wewe unataka umuoe. Hujiulizi why hataki kiachana na huyo jamaa yake? Unadhani ukiwaachanisha akaja kwako, mtakuwa na furaha?

Huyo hata ukimuoa, still atakuwa anaenda kwa jamaa kwa kutumia hela ambazo utakuwa unamuachia home kama za matumizi.

Alafu kingine, inabidi wanaume ifike hatua akili zibadilike kidogo. Mwanamke kutokukupiga mizinga sio kipimo Cha upendo hata kidogo. Ni vile mahitaji yake kuna namna yanatimia bila uwepo wako, sasa jiulize nani anayatimiza.
 
Wasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada

Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.

Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .

Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.

Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .
Huyo bado ana akili za kitoto anasikilizia huku na huko , Kubali kuwa mchepuko, hakikisha unamchezea mpaka atakaposhika mimba yako alafu una mkataa ili yeye akung'ang'anie
 
Nilikuwa naonaga watu wanaandika "I don't want peace, I want violence" nilikuwa nachukulia kama meme tu, ila kupitia wewe ndio naamini kumbe zile sio meme tu, mpo watu wa hivyo.


Demu ameshakwambia mara kadhaa kuwa ana mtu wake, umefosi weee mpaka anataka akupe nafasi ya kuwa mchepuko ila wewe unataka umuoe. Hujiulizi why hataki kiachana na huyo jamaa yake? Unadhani ukiwaachanisha akaja kwako, mtakuwa na furaha?

Huyo hata ukimuoa, still atakuwa anaenda kwa jamaa kwa kutumia hela ambazo utakuwa unamuachia home kama za matumizi.

Alafu kingine, inabidi wanaume ifike hatua akili zibadilike kidogo. Mwanamke kutokukupiga mizinga sio kipimo Cha upendo hata kidogo. Ni vile mahitaji yake kuna namna yanatimia bila uwepo wako, sasa jiulize nani anayatimiza.
My focus ,kabla ya mwaka hujaisha nipate malipo yangu ,nahitaji mbinu tu,kwa sababu hata nikimwitaji atakuja tu🙏
 
Wasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada

Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.

Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .

Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.

Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .
Unafeli wapi mkuu. Kashakwambia kua mchepuko. Unakubali then unamdunga mimba.
 
Back
Top Bottom