Nimewaona,nimemshukuru Mungu

Mhhhh!!
Yaani mimi nilifaulu peke yangu kati ya 45. Wengi walibaki kijijini, wakaolewa na kuoa.....mwaka jana nilienda kijijini nikakutana na wadada wawili, yaani wana wajukuu tayari.....!!!
Yaani kila nikikumbuka nilikotokea, nasema "Hata sasa Bwana amenisaidia"

Dah,how thankful you should be just as i should.
 
Haaaaa nakumbuka sana sana, wlifaulu 107 sikuwamo,nililia saaana sikutegemea, ilibidi wazazi waje juu hadi wizarani inakuwaje simo nilikuwa nafaulu nakuwa wa 20 bora kati ya watoto 300 na ushee, ilikuwa soo kwenda wizarani mama yangu mdogo kipindi hicho alikuwa anafanya kazi huko,akaingia kwenye makabrasha yao,akakuta namba yangu ya mtihani anayo msichana mmoja hivi na nilikaa nae kwenye mtihani na alikuwa anachungulia kwangu, eti jina lake ndio liko kwa namba yangu na kafaulu.....tukataka kushtaki mama mdogo akasema atafukuzwa kazi, kuanzia hapo nikakata tamaa kabisa ya shule, secondary private nikasoma, wenzangu nilimaliza nao wengi nawaona sana hapa mjini including mwizi wangu...jinsi nilivochukia shule kipindi hicho, namshukuru sana mume kwa kunipa moyo wa kusoma mpaka nimefikia hapa nlipo, ni kama ndoto vile
Sie shule yetu ya primary huwa tunakutna mara moja kwa mwaka yaani huwa ni ku enjoy kwa kwenda mbele...but na yule dada huwa anakuja ga lol
 
ODM... Umenikumbusha weeeeengi... very young, with Great potential... i Grieve when ever i remember at the End I Thank GOD THE ALMIGHTY I was lucky i got to know them kabla hawajachukuliwa.... May they REST IN PEACE....

Tukiwa primary nilipenda sana kupigana.
kuna rafiki yangu tulipigana na mda mfupi baadae akaanza kuugua.
Alikua na cancer and he died before i said sorry.

May he rest in peace.


Tuliomaliza darasa la saba tulikuwa 24, tulifaulu 6....... Tuliofaulu ni mmoja tu aliyeishia kidato cha sita ambaye alijiunga na JWTZ na kufikia cheo cha Luteni kabla hajatimuliwa baada ya kumletea fujo Mkuu wa Wilaya!.....Hali yake kwa sasa inasikitisha...... Kwa wale ambao hawakufaulu wanne walijiunga na shule za private, mmoja akijiunga na seminari ambapo mwaka mmoja kabla ya kuwa padre sijui kilitokea nini, hakuupata akaishia ushemasi..... Hawa nao hali zao ni njema mpaka leo

Wale wengine ambao hawakuendelea na masomo...............dah! Mungu na azidi kuwasaidia manake hali yao ni hoi taabani.

Na Mmoja ambaye alikuwa rafiki yangu wa karibu enzi hizo tukicheza mpira wa chandimu: Roho ya Marehemu apate Rehema kwa Mungu, aendelee kupumzika kwa amani: AMEN!
 
Sidhani kama watapata inferiority complex kama utakaa nao
na kuongea nao bila kuonesha changes yoyote.
I mean,uwe wewe yule yule walie kuzoea.

Kwa mfano mimi tulipo kutana,ghafla nilikumbuka majina yote niliyokua nawatania na waliyokua
wananitania,tukaanza kutaniana tena while having a few drinks na kubadilishana mawazo ya kimaisha.

trust me,hata kama wameishia std 7,wana ndoto na mawazo mazuri sana ila hawawezi kuyafanyia kazi.
Kaa nao,pamoja na utani wa zamani ambao utawaonesha kwamba "he/she is still the sama clemmy we used to go swim in the ponds with"
hawata feel inferiority complex.
How old are you Clemmy? Yawezekana we unazungumzia uloachana nao five years back... Wengine hapa wanazungumzia miaka ishirini na ushee iliyopita....... Ni watu wazima wenye watoto kadhaa (wengine na wajukuu, imagine mtu aliyeoa miaka miwili baada ya kumaliza la saba). Ni watu waliokwisha kata tamaa......... Sijui kama unanielewa kaka/dada?
 
ODM... Umenikumbusha weeeeengi... very young, with Great potential... i Grieve when ever i remember at the End I Thank GOD THE ALMIGHTY I was lucky i got to know them kabla hawajachukuliwa.... May they REST IN PEACE....

Tukiwa primary nilipenda sana kupigana.
kuna rafiki yangu tulipigana na mda mfupi baadae akaanza kuugua.
Alikua na cancer and he died before i said sorry.

May he rest in peace.


Tuliomaliza darasa la saba tulikuwa 24, tulifaulu 6....... Tuliofaulu ni mmoja tu aliyeishia kidato cha sita ambaye alijiunga na JWTZ na kufikia cheo cha Luteni kabla hajatimuliwa baada ya kumletea fujo Mkuu wa Wilaya!.....Hali yake kwa sasa inasikitisha...... Kwa wale ambao hawakufaulu wanne walijiunga na shule za private, mmoja akijiunga na seminari ambapo mwaka mmoja kabla ya kuwa padre sijui kilitokea nini, hakuupata akaishia ushemasi..... Hawa nao hali zao ni njema mpaka leo

Wale wengine ambao hawakuendelea na masomo...............dah! Mungu na azidi kuwasaidia manake hali yao ni hoi taabani.

Na Mmoja ambaye alikuwa rafiki yangu wa karibu enzi hizo tukicheza mpira wa chandimu: Roho ya Marehemu apate Rehema kwa Mungu, aendelee kupumzika kwa amani: AMEN!
 
George Kihiyo tulimaliza wote Muhimbili Primary 1974. Kama upo humu JF, au kuna mtu anamfahamu, tafadhali ni-pm.
 
How old are you Clemmy? Yawezekana we unazungumzia uloachana nao five years back... Wengine hapa wanazungumzia miaka ishirini na ushee iliyopita....... Ni watu wazima wenye watoto kadhaa (wengine na wajukuu, imagine mtu aliyeoa miaka miwili baada ya kumaliza la saba). Ni watu waliokwisha kata tamaa......... Sijui kama unanielewa kaka/dada?

hahaha,okey nakuelewa mkuu.
Am 6 years to 30years.

Kweli,ni vigumu hapo nimekuelewa.
But ni challenge kwetu ulio chini bado.
 
Sidhani kama watapata inferiority complex kama utakaa nao
na kuongea nao bila kuonesha changes yoyote.
I mean,uwe wewe yule yule walie kuzoea.

Kwa mfano mimi tulipo kutana,ghafla nilikumbuka majina yote niliyokua nawatania na waliyokua
wananitania,tukaanza kutaniana tena while having a few drinks na kubadilishana mawazo ya kimaisha.

trust me,hata kama wameishia std 7,wana ndoto na mawazo mazuri sana ila hawawezi kuyafanyia kazi.
Kaa nao,pamoja na utani wa zamani ambao utawaonesha kwamba "he/she is still the sama clemmy we used to go swim in the ponds with"
hawata feel inferiority complex.


Clemmy my first post nilisema you have so much love... out of assumption sababu ni wachache saana hukumbuka walokua nao hapo nyuma... You have done that na naaamin wengi tulopita hapa tumekumbuka mengi mno... ya kufurahisna na kusikitisha pia... nimependa hii post nimeku qoute... It brings so much sense... understanding ambayo lazima isukumwe na Love....
 
hahaha,okey nakuelewa mkuu.
Am 6 years to 30years.

Kweli,ni vigumu hapo nimekuelewa.
But ni challenge kwetu ulio chini bado.
Kwa umri huo, bado una nafasi ya kuwatafuta kukaa nao pamoja na kuwapa matumaini na mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha..... sie wenzio tukikutana na tulioachana nao la saba, wengine huwa tunajikuta tunawapa shkamoo bila kutegemea..... hali mbaya!
 
Tukiwa primary nilipenda sana kupigana.
kuna rafiki yangu tulipigana na mda mfupi baadae akaanza kuugua.
Alikua na cancer and he died before i said sorry.

May he rest in peace.

This is a very sadly moving story... Dah!

Hii thread imenifundisha mengi sana,achilia mbali kumbukumbu za
watu,ila nimejiona mdogo kupita wote maana utasikia mwingine.
"classmate wangu anafanya PHD saivi,mwingine sijui yuko wapi",...wakati
wengine hapa mh,hata degree bado tunahesabu miezi kadhaa mbele
.

Nilipoona hapo... Nikajiuliza straight from school or??? But then ODM akauliza swali langu....

How old are you Clemmy? Yawezekana we unazungumzia uloachana nao five years back... Wengine hapa wanazungumzia miaka ishirini na ushee iliyopita....... Ni watu wazima wenye watoto kadhaa (wengine na wajukuu, imagine mtu aliyeoa miaka miwili baada ya kumaliza la saba). Ni watu waliokwisha kata tamaa......... Sijui kama unanielewa kaka/dada?

hahaha,okey nakuelewa mkuu.
Am 6 years to 30years.

Kweli,ni vigumu hapo nimekuelewa.
But ni challenge kwetu ulio chini bado.


And i am like WHAT??? Dah!!! Hongera Mkuu hakikisha GPA Imesimama.... Best of Luck...
 
George Kihiyo tulimaliza wote Muhimbili Primary 1974. Kama upo humu JF, au kuna mtu anamfahamu, tafadhali ni-pm.

Duh,aiseee inabidi nianza utaratibu wa kutoa "shikamoo" kabla
sijaanza kuchangia mada humu.
It's a challenge kumheshimu mtu hata kama humuoni au yuko mbali.
 
Kwa umri huo, bado una nafasi ya kuwatafuta kukaa nao pamoja na kuwapa matumaini na mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha..... sie wenzio tukikutana na tulioachana nao la saba, wengine huwa tunajikuta tunawapa shkamoo bila kutegemea..... hali mbaya!

Sure,next year,january naanza kufuga kuku (Nikizawadiwa uhai na afya),...
Kuna mmoja kati yao tumepanga kufanya nae kazi hiyo maana
alipata uzoefu alipokua akitafuta maisha (aliingia kwenye seminar nyingi za ufugaji wa kuku)

hahaha,nasubiria mkopo.
 
And i am like WHAT??? Dah!!! Hongera Mkuu hakikisha GPA Imesimama.... Best of Luck...

Thanks AshaDii,....
By october i will be officially a finalist,i thank God hata kwa hapa nilipofikia ingawa
sijamaliza bado safari ya masomo yangu.

It's a very long journey.
 
Clemmy my first post nilisema you have so much love... out of assumption sababu ni wachache saana hukumbuka walokua nao hapo nyuma... You have done that na naaamin wengi tulopita hapa tumekumbuka mengi mno... ya kufurahisna na kusikitisha pia... nimependa hii post nimeku qoute... It brings so much sense... understanding ambayo lazima isukumwe na Love....


Ahsante Sana
Merci Madame
thank you very much
Shukran Gazillan
Shakkran
Tack

I'm honoured by your compliment.
 
Tuliomaliza darasa la saba tulikuwa 24, tulifaulu 6....... Tuliofaulu ni mmoja tu aliyeishia kidato cha sita ambaye alijiunga na JWTZ na kufikia cheo cha Luteni kabla hajatimuliwa baada ya kumletea fujo Mkuu wa Wilaya!.....Hali yake kwa sasa inasikitisha...... Kwa wale ambao hawakufaulu wanne walijiunga na shule za private, mmoja akijiunga na seminari ambapo mwaka mmoja kabla ya kuwa padre sijui kilitokea nini, hakuupata akaishia ushemasi..... Hawa nao hali zao ni njema mpaka leo

Wale wengine ambao hawakuendelea na masomo...............dah! Mungu na azidi kuwasaidia manake hali yao ni hoi taabani.

Na Mmoja ambaye alikuwa rafiki yangu wa karibu enzi hizo tukicheza mpira wa chandimu: Roho ya Marehemu apate Rehema kwa Mungu, aendelee kupumzika kwa amani: AMEN!
Oooooh soul mate story nzuri zana, ni vizuri sana kukumbukia mwaka 47
 
Duh,aiseee inabidi nianza utaratibu wa kutoa "shikamoo" kabla
sijaanza kuchangia mada humu.
It's a challenge kumheshimu mtu hata kama humuoni au yuko mbali.

Marahabaa Kijana. Tunataka vijana wengine waige kwako.
 
Mimi nilifaulu peke yangu darasani, na wenzangu wachache walienda shule za private, wakati huo tunakaa wilaya ya Monduli, hivyo kwa mila za enzi hizoo wengi walikuwa wanatoroka kuolewa au kuingia kwenye umorani,

Mpaka sasa sijaweza kuwapata classmates was std 7 kwani mzee alihamishwa mwaka huohuo, siwakumbuki wengi majina yao maana ni miaka mingi sana

Lakini kwa waliosoma Mazoezi Primary School, kama mnamkumbuka Nsiande the monitress....
 
Aisee hakuna aliesoma mjini humu? Maana kila mtu kaawacha wenzake kijijini!

Mie nimesoma mjini :]

darasa la 45 students sote tulifaulu kuingia secondary.

Sijawahi kupoteza mawasiliano nao katika miaka yote hiyo and they are still my BFFs kuliko almost wote niliokutana nao baadae kiasi cha kuplan vacations pamoja na tunakutana juu kwa juu :]

Most are married with kids. Mmoja alifariki hivi juzi ghafla mno na ilikuwa a very big blow kwangu.

May she rest in peace-amen
 
Back
Top Bottom