Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,744
- 18,006
Kuna mwanadada niliyemuita ghetto for the first time baada ya mawasiliano ya muda mrefu, akaja na mwenzake ili nisipate nafasi ya kumla. Wakapika wakala Wakati wa kuondoka kwa kuwa huyu niliyemuita kwao ni mbali nauli ni elfu mbili kwa bodaboda nikampa.
Akaniambia "hii hela gani? usiku umeanza kuingia Hii hela hatoshi nauli"
Kimoyomoyo nikasema kwa lugha hii hakuna mke hapa. nikampa elfu moja nyingine iwe elfu tatu ili akidaiwa zaidi aweze kulipa. Mwenzake kwao napajua, ni mwendo wa dakika kumi kwa mguu hivyo sikuona haja ya kumpa nauli lakini huyu wangu akaniambia umenipenda mimi ni lazima umpe na rafiki yangu.
Kwa lugha yake ya kiduanzi nikajua hakuna mke hapa. Nikamuambia naomba hiyo elfu tatu niwape elfu 10 mkagawane. Akanipa, nikamuambia kwanza huna nidhamu unaniamrisha kama tupo jeshini, tokeni kwangu. Nikachomoa jambia nikawafukuza wakaondoka kwa miguu. Washenzi sana. Wandadhani sisi tunapataga hela kwa kuokota dumple. Ushauri, kwa sisi ambao bado hatujajipata tuachane na mademu, tupambane kujitafuta
Akaniambia "hii hela gani? usiku umeanza kuingia Hii hela hatoshi nauli"
Kimoyomoyo nikasema kwa lugha hii hakuna mke hapa. nikampa elfu moja nyingine iwe elfu tatu ili akidaiwa zaidi aweze kulipa. Mwenzake kwao napajua, ni mwendo wa dakika kumi kwa mguu hivyo sikuona haja ya kumpa nauli lakini huyu wangu akaniambia umenipenda mimi ni lazima umpe na rafiki yangu.
Kwa lugha yake ya kiduanzi nikajua hakuna mke hapa. Nikamuambia naomba hiyo elfu tatu niwape elfu 10 mkagawane. Akanipa, nikamuambia kwanza huna nidhamu unaniamrisha kama tupo jeshini, tokeni kwangu. Nikachomoa jambia nikawafukuza wakaondoka kwa miguu. Washenzi sana. Wandadhani sisi tunapataga hela kwa kuokota dumple. Ushauri, kwa sisi ambao bado hatujajipata tuachane na mademu, tupambane kujitafuta