Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Kama kweli umempenda mpe msaada wa kusoma kwanza akiwa hapo hapo kwa rafiki yako na usifanye naye ngono. Ujue ma-housegirl wanatoka kwenye mazingira magumu, na lazima atakupa jibu la ndio. Kwa kifupi housegirls are vulnerable - wanahitaji msaada sana. Ukifanya naye ngono tu kwa sasa bila matunzo kama hao wa class yako unaweza usimtake tena.
Halafu kwanza uelewe maana ya ndoa, pili malengo yako kwenye ndoa. La sivyo utakuwa wa kutamani/ kupenda kila mwanamke hata baada ya kumuoa huyo.
Halafu kwanza uelewe maana ya ndoa, pili malengo yako kwenye ndoa. La sivyo utakuwa wa kutamani/ kupenda kila mwanamke hata baada ya kumuoa huyo.