Sasa nimeamua kujiunga. Naamini mtanipokea nami sitawaboa.
Jinsia yangu inakuhusu nini asprini? thx kulipenda jina langu. lako pia zuri.Karibu sana.............we ni he au she?
BTW nimelipenda jina lako...!
kutokana na jins ulivyomjibu panadol, inaonekana ni ke.Jinsia yangu inakuhusu nini asprini? thx kulipenda jina langu. lako pia zuri.
kutokana na jins ulivyomjibu panadol, inaonekana ni ke.
yah uyu ni mwanamke kutokana na majibu yake
Karibu sana.............we ni he au she?
BTW nimelipenda jina lako...!
Jinsia yangu inakuhusu nini asprini? thx kulipenda jina langu. lako pia zuri.
kutokana na jins ulivyomjibu panadol, inaonekana ni ke.
yah uyu ni mwanamke kutokana na majibu yake
Ahsanteni kwa upembuzi wenu........... I hope mtaniachia niendelee naye.Aaaa,tena atakua KIGORI
Mazandu sounds very familia indeed
karibu tena
Nami pia najaribu kusoma between them lines..... lazima hili jina lina namna flani hivi.....Karibu jamvini Mazandu......naomba kukuuliza maana ya jina lako hili...niwie radhi kama nitakuwa nimekukwaza kaka/dada
Nami pia najaribu kusoma between them lines..... lazima hili jina lina namna flani hivi.....
Ntaweka kambi hapa mpaka kieleweke
Mzee mwenzangu naomba hatimiliki niifanye hiyo red iwe signature yangu.Mhhhh....Babu mwenzangu...Unanikumbusha usemi kuwa.."hazina yako ilipo ndipo na moyo wako ulipo"...Naamini mgeni atategua hiki kitendawili haraka!!