Endelea kuvumilia maana inaelekea uwezo huo unao. Vuta miaka mingine 7 iwe kumi. Kama itakuwa bado wasiliana na watu wa Guiness Book of Records!
Hiyo miaka mitatu yote unasema nini? Namekuota,nakupenda,nikinywa maji nakuona kwenye glasi?? Leo ukimwona mtongoze hivi: unaelekea kibla au uelekei? akisema sielekei umwambie hivi:nina laki moja iko chumbani kwangu haina kazi nataka nikupe,mkuu utashangaa leo hii hii unakula mzigo.NB: Usije ukawa unajipendekeza tuu ukidhani unatongoza mkuu kwa maana miaka mitatu si haba kwa shuguli ndogo kama hiyo.
Jitu zembe hili!sasa kimekushinda nini kugegeduka nae?tena inaelekea muda wote huo hata mgegeduko wake humjui!Habari zenu?
Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu.
Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe.
Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.
Yan jamaa ni more than
à zobaaa. Mimi mwezi dem hanikalishi.....like seriously muda wote huo
nangoja nn ????
Then sio kama kashinda game au kunadalili ya ushindi yan bdo aongeze 3 mingne mpaka 2017 uko!!mkuu wewevmvumilivu sana...miaka mitatu ...?
mwananyamala kwa wahaya
ahaaaa umenichekesha ndan ya mwezi unadai? kwa lip ambalo unakuwa umefanya mpaka akuone wa kujitambua? mwaka hapo sawa landa kwa cheap ladies hapo sawa ila wakina mm mm ahaaaaaa
We mwenyewe cheap vile
vile. Sitongozi dem wa kishamba hata siku moja...tunatofautiana ki
bahati, mbinu bila kusahau vitendea kazi Tehe..unafkiri kila mtu ni zoa
zoa tu ??? Acha balaa mtoto. Ukitaka kujua mbinu zangu ntafute.
ebu toa zalau kwanza kua ndo useme ni kutafte. watoo wa siku izi majanga.
Habari zenu?
Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu.
Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe.
Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo kama haliwezekani. Naombeni ushauri namna ya kuachana nae, binafsi kama nimeshindwa.