Nimetokwa na kijipu sehemu ya siri ghafla, naomba msaada

haszu

JF-Expert Member
Oct 10, 2017
837
1,550
Ni jambo lenye ukakasi ila sinabudi kulizungumza. Naomba mniwie radhi.

Nilisafiri sehemu nikakaa siku moja, yapili nikarudi, naweza sema nimekaa siku mbili, lakini zaidi ya haja dogo, sijaenda haja kubwa hata maramoja.

Niliporudi ninapoishi siku ya kwanza nikapata choo kigumu, siku ya pili ndo ikawa shida zaidi, choo kigumu sana na hakitoki, nikajikamua sana na kwa nguvu kweli kikatoka kilichotoka lakini nikawa najihisi kama kuna kitu kigumu kimekwama karibu na kutoka.

Nilipoamka asubuhi, bado hali ya kuhisi kitu kimekwama ikawa ipo, nilipoenda uani nikapata haja ya kawaida bila shida ila ile hali ya kitu kukwama ikaendelea kuepo.

Niliamua kujikamua tena, nilihisi maumivu kwa mbali, nikaona sinajinsi nikajiangalia, ndio nikaona kuna kiuvimbe kwa nje, kma kijipu.

Naomba kufahamu
1. Huu uvimbe unatokana na ugumu wa kile kilichofanikiwa kutoka kwa sababu nilijikamua sana?

Au

2. Huu uvimbe ni Bawaziri ndiyo imekuja ghafla?

Kuna aliyewahi tokewa na hii hali? Nifanyeje?
 
Hali hiyo ilinipata siku 4 baada ya operation...nadhani ni kutokana na haja kutoka kwa shida.

Nilirudi hospital nikaandikiwa dawa na kuambiwa nirudi baada ya wiki kama vipi wakitoe kwa operation.

Sikutumia hizo dawa na kikapotea chenyewe...tuliza presha kwanza sio jibu wala bawasiri
 
Kama ungeenda hospitali za India. Kwa maelezo uliyotoa wangekupima kansa ya njia ya Haja kubwa kwanza.

Tiba nyingine zingeendelea baadae.

Plz wahi Muhimbili.

Na moja ya dalili ya kansa ya haja kubwa ni kuonana kwa njia ya haja kubwa kuwa ndogo.
 
Hali hiyo ilinipata siku 4 baada ya operation...nadhani ni kutokana na haja kutoka kwa shida.

Nilirudi hospital nikaandikiwa dawa na kuambiwa nirudi baada ya wiki kama vipi wakitoe kwa operation.

Sikutumia hizo dawa na kikapotea chenyewe...tuliza presha kwanza sio jibu wala bawasiri
Shukran, ngoja nivute subira kwa siku mbili
 
Kama ungeenda hospitali za India. Kwa maelezo uliyotoa wangekupima kansa ya njia ya Haja kubwa kwanza.

Tiba nyingine zingeendelea baadae.

Plz wahi muhimbili.

Na moja ya dalili ya kansa ya haja kubwa ni kuonana kwa njia ya haja kubwa kuwa ndogo.
Mkuu hali ya ugumu ilinikuta jana tu, leo hali iko kawaida ila ndo nimeona kauvimbe, pia ile hali ya kama kuna kitu kimekwama bado naihisi, lakini ninapoenda uani hali imerudi kawaida tu
 
Ni jambo lenye ukakasi ila sinabudi kulizungumza. Naomba mniwie radhi.

Nilisafiri sehemu nikakaa siku moja, yapili nikarudi, naweza sema nimekaa siku mbili, lakini zaidi ya haja dogo, sijaenda haja kubwa hata maramoja.

Niliporudi ninapoishi siku ya kwanza nikapata choo kigumu, siku ya pili ndo ikawa shida zaidi, choo kigumu sana na hakitoki, nikajikamua sana na kwa nguvu kweli kikatoka kilichotoka lakini nikawa najihisi kama kuna kitu kigumu kimekwama karibu na kutoka.

Nilipoamka asubuhi, bado hali ya kuhisi kitu kimekwama ikawa ipo, nilipoenda uani nikapata haja ya kawaida bila shida ila ile hali ya kitu kukwama ikaendelea kuepo.

Niliamua kujikamua tena, nilihisi maumivu kwa mbali, nikaona sinajinsi nikajiangalia, ndio nikaona kuna kiuvimbe kwa nje, kma kijipu.

Naomba kufahamu
1. Huu uvimbe unatokana na ugumu wa kile kilichofanikiwa kutoka kwa sababu nilijikamua sana?

Au

2. Huu uvimbe ni Bawaziri ndiyo imekuja ghafla?

Kuna aliyewahi tokewa na hii hali? Nifanyeje?
Sio Bawasil8 hiyo kweli.??
 
Mkuu hali ya ugumu ilinikuta jana tu, leo hali iko kawaida ila ndo nimeona kauvimbe, pia ile hali ya kama kuna kitu kimekwama bado naihisi, lakini ninapoenda uani hali imerudi kawaida tu

Ni tahadhari tu. Usidharau. Nenda hospital ya serikali. Anza tiba zao huwenfmda wakakupa antibiotics. Meza ivimbe ukiendelea. Waombe kwa kuwalazimisha wakupe rufaa uende Muhimbili.

Ukihisi njia ya haja kubwa inakuwa ndogo,
Ukijihusi uvimbe unaongezeka.

Omba rufaa.

Nina rafiki yangu mwezi iliyopita kaenda India. Alivyosema ameonekana na uvimbe kwanza walipeleka idara ya kansa.

Nina mgonjwa nimemuuguza mwenyewe cancer. Kwa mara ya kwanza kwenda Muhimbili baada ya kuonekana na dalili za kansa Muhimbili walianza lupita figo, ini, moto. Kwa miezi 3 hakupata kipimo cha kansa.

Baada ya kuingilia kati ndipo ak as pimwa na kuthibitisha ni kansa. Kupigwa mionzi na naweza kuthubutu kusema kaponq
 
Ni jambo lenye ukakasi ila sinabudi kulizungumza. Naomba mniwie radhi.

Nilisafiri sehemu nikakaa siku moja, yapili nikarudi, naweza sema nimekaa siku mbili, lakini zaidi ya haja dogo, sijaenda haja kubwa hata maramoja.

Niliporudi ninapoishi siku ya kwanza nikapata choo kigumu, siku ya pili ndo ikawa shida zaidi, choo kigumu sana na hakitoki, nikajikamua sana na kwa nguvu kweli kikatoka kilichotoka lakini nikawa najihisi kama kuna kitu kigumu kimekwama karibu na kutoka.

Nilipoamka asubuhi, bado hali ya kuhisi kitu kimekwama ikawa ipo, nilipoenda uani nikapata haja ya kawaida bila shida ila ile hali ya kitu kukwama ikaendelea kuepo.

Niliamua kujikamua tena, nilihisi maumivu kwa mbali, nikaona sinajinsi nikajiangalia, ndio nikaona kuna kiuvimbe kwa nje, kma kijipu.

Naomba kufahamu
1. Huu uvimbe unatokana na ugumu wa kile kilichofanikiwa kutoka kwa sababu nilijikamua sana?

Au

2. Huu uvimbe ni Bawaziri ndiyo imekuja ghafla?

Kuna aliyewahi tokewa na hii hali? Nifanyeje?
Kwanza pole sana Mkuu.

Hicho kinachoonyesha kama kuna kitu kimekwama, ni rectal pressure.

Na sababu haswa huwa ni Constipation pamoja na Bawasiri.

Ningeweza kudadisi kwa undani zaidi endapo ungeeleza dalili ambanishi. Je, unapata maumivu yeyote unapopata choo? Je, kinyesi chako kina damu damu? Unawashwa sehemu ya haja kubwa? Ukikaa upo comfortable?

Kwa sasa unapaswa kufika katika kituo cha afya kwa ajili ya Uchunguzi zaidi.
 
Kama ungeenda hospitali za India. Kwa maelezo uliyotoa wangekupima kansa ya njia ya Haja kubwa kwanza.

Tiba nyingine zingeendelea baadae.

Plz wahi muhimbili.

Na moja ya dalili ya kansa ya haja kubwa ni kuonana kwa njia ya haja kubwa kuwa ndogo.
Dah Mzee 🤣🤣 Kukosa choo Siku mbili UshamDiagnos na Kansa ya Haja kubwa dah 🤣🤣🤣🤣🤣 Nyie ndo huwa mnaua watu kwa pressure Aisee 🤣🤣
 
Dah Mzee 🤣🤣 Kukosa choo Siku mbili UshamDiagnosis na Kansa ya Haja kubwa dah 🤣🤣🤣🤣🤣

Mentality ya watz hadi wazidiwe.
Kwa india ni hatua ya kwanza kukiwa na uvimbe wa ndani ya mwili. Kabla ya kuanza kucheki vidonda vya tumbo, moyo, presha kama wafanyavyo madaktari wa Muhimbili. Wao wanaanza na kansa kwanza
 
Choo kigumu ni constipation tuu, jipu inawezekana ni ingrown hair , hizo ingrown hair zinaweza kutengeneza kitu kama kijipu na usaha, ukiona maumivu na usaha haviishi inabidi wakupasue wakusafishe na antibiotic za kutosha, niliwahi kupata hilo tatizo nikadharau sikufanya kitu, niliishia kufanyiwa surgery ili kupona
 
Ni jambo lenye ukakasi ila sinabudi kulizungumza. Naomba mniwie radhi.

Nilisafiri sehemu nikakaa siku moja, yapili nikarudi, naweza sema nimekaa siku mbili, lakini zaidi ya haja dogo, sijaenda haja kubwa hata maramoja.

Niliporudi ninapoishi siku ya kwanza nikapata choo kigumu, siku ya pili ndo ikawa shida zaidi, choo kigumu sana na hakitoki, nikajikamua sana na kwa nguvu kweli kikatoka kilichotoka lakini nikawa najihisi kama kuna kitu kigumu kimekwama karibu na kutoka.

Nilipoamka asubuhi, bado hali ya kuhisi kitu kimekwama ikawa ipo, nilipoenda uani nikapata haja ya kawaida bila shida ila ile hali ya kitu kukwama ikaendelea kuepo.

Niliamua kujikamua tena, nilihisi maumivu kwa mbali, nikaona sinajinsi nikajiangalia, ndio nikaona kuna kiuvimbe kwa nje, kma kijipu.

Naomba kufahamu
1. Huu uvimbe unatokana na ugumu wa kile kilichofanikiwa kutoka kwa sababu nilijikamua sana?

Au

2. Huu uvimbe ni Bawaziri ndiyo imekuja ghafla?

Kuna aliyewahi tokewa na hii hali? Nifanyeje?
Mkuu kwa Maelezo ulotoa Japo hayakukamilika Sana maana ingependeza kama ungetoa Taarifa ya Choo kama kilikuwa na Damu ama vipi, Au bado kuna maumivu Ya Sehemu ya Haja kubwa....

Ila kama maelezo yako yanaweza yakatosha kuestablish a Spot Diagnosis ......
Huenda ukawa umepata Bawasiri (Haemorrhoids/Hemorrhoids) kutokana na kile Tunachokiita Internal Pressure(Msukumo ndani) Kipindi ambacho ulikuwa umepata Constipation hivyo kufanya mishipa ya vein iliyo katika Sehemu ya haja kubwa(anus/Rectum) kusukumwa nje na kusababisha Hitilafu hiyo....

Nakushauri Mkuu Nenda HOSPITAL yoyote iliyo karibu na wewe ili waweze kukufanyia Uchunguzi ikiwemo Kukupatia matibabu stahiki ili kuepusha Further Complication..
Na zaidi mkuu jitahid Sana kula mtunda Na Maji mengi.....

CC; haszu
 
Hali hiyo ilinipata siku 4 baada ya operation...nadhani ni kutokana na haja kutoka kwa shida.

Nilirudi hospital nikaandikiwa dawa na kuambiwa nirudi baada ya wiki kama vipi wakitoe kwa operation.

Sikutumia hizo dawa na kikapotea chenyewe...tuliza presha kwanza sio jibu wala bawasiri


Ngoja kirudi chenyewe kama kilivyopotea chenyewe ndo utajua madaktari ni waliopewa vyeti
 
Kwanza pole sana Mkuu.

Hicho kinachoonyesha kama kuna kitu kimekwama, ni rectal pressure.

Na sababu haswa huwa ni Constipation pamoja na Bawasiri.

Ningeweza kudadisi kwa undani zaidi endapo ungeeleza dalili ambanishi. Je, unapata maumivu yeyote unapopata choo? Je, kinyesi chako kina damu damu? Unawashwa sehemu ya haja kubwa? Ukikaa upo comfortable?

Kwa sasa unapaswa kufika katika kituo cha afya kwa ajili ya Uchunguzi zaidi.
Mkuu kinyesi hakina damu, siwashwi sehemu ya siri, nikikaa au kutembea niko comfortable na naweza fanya kazi zangu zote hata mazoezi kama kawaida,
Constipation niliipata mara moja tu, ilikua jioni, siku inayofata asubuhi nilipata choo kama kawaida.

Shida ni kama kijibu au uvimbe nilioona na pia jana nilikua nahisi kama kuna kitu kimebaki, ila leo nimeamka hio hali imepotea
 
Mkuu kwa Maelezo ulotoa Japo hayakukamilika Sana maana ingependeza kama ungetoa Taarifa ya Choo kama kilikuwa na Damu ama vipi, Au bado kuna maumivu Ya Sehemu ya Haja kubwa....

Ila kama maelezo yako yanaweza yakatosha kuestablish a Spot Diagnosis ......
Huenda ukawa umepata Bawasiri (Haemorrhoids/Hemorrhoids) kutokana na kile Tunachokiita Internal Pressure(Msukumo ndani) Kipindi ambacho ulikuwa umepata Constipation hivyo kufanya mishipa ya vein iliyo katika Sehemu ya haja kubwa(anus/Rectum) kusukumwa nje na kusababisha Hitilafu hiyo....

Nakushauri Mkuu Nenda HOSPITAL yoyote iliyo karibu na wewe ili waweze kukufanyia Uchunguzi ikiwemo Kukupatia matibabu stahiki ili kuepusha Further Complication..
Na zaidi mkuu jitahid Sana kula mtunda Na Maji mengi.....

CC; haszu
Shukran mkuu, constipation ilinitokea mara moja tu, baada ya hapo niliendelea kama kawaida.
Je bawaziri inaweza tokea kwa damage ya constipation ya siku moja?
 
Ni jambo lenye ukakasi ila sinabudi kulizungumza. Naomba mniwie radhi.

Nilisafiri sehemu nikakaa siku moja, yapili nikarudi, naweza sema nimekaa siku mbili, lakini zaidi ya haja dogo, sijaenda haja kubwa hata maramoja.

Niliporudi ninapoishi siku ya kwanza nikapata choo kigumu, siku ya pili ndo ikawa shida zaidi, choo kigumu sana na hakitoki, nikajikamua sana na kwa nguvu kweli kikatoka kilichotoka lakini nikawa najihisi kama kuna kitu kigumu kimekwama karibu na kutoka.

Nilipoamka asubuhi, bado hali ya kuhisi kitu kimekwama ikawa ipo, nilipoenda uani nikapata haja ya kawaida bila shida ila ile hali ya kitu kukwama ikaendelea kuepo.

Niliamua kujikamua tena, nilihisi maumivu kwa mbali, nikaona sinajinsi nikajiangalia, ndio nikaona kuna kiuvimbe kwa nje, kma kijipu.

Naomba kufahamu
1. Huu uvimbe unatokana na ugumu wa kile kilichofanikiwa kutoka kwa sababu nilijikamua sana?

Au

2. Huu uvimbe ni Bawaziri ndiyo imekuja ghafla?

Kuna aliyewahi tokewa na hii hali? Nifanyeje?
Wewe ni KE au ME. Then tutaendelea
 
Back
Top Bottom