DOKEZO Nimetapeliwa Pesa na Kampuni ya Sola ya MYSOL

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

dadamlamayao

JF-Expert Member
Nov 1, 2022
242
806
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nililipia Tsh.183,000 tarehe 3 Novemba mwaka huu kama malipo ya awali ili wanifungie Sola ya Watt 120 hapa nyumbani kwetu Simiyu.

Leo ni tarehe 5 Disemba maana yake zimeshapita siku 32 hawajaja kunifungia na jitihada za kuwaambia wanirudishie pesa yangu zimeshindikana. Nimeenda kuripoti Kituo cha Polisi wameniambia hiyo ni Kesi ya Madai na si Jinai, naomba msaada mwenye uzoefu na hii Kampuni.

Na pia nawatahadharisha Watanzania wenzangu hasa waliyo vijijini ambako umeme bado haujafika, wajihadhari na kuigopa kampuni hii kwani ni matapeli makubwa kama ilivyo Kalyanda tu.
 
jichange nenda dukani kwa mtu lipa kwa awamu .ukimaliza unachukua mzigo wako
 
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nililipia Tsh.183,000 tarehe 3 Novemba mwaka huu kama malipo ya awali ili wanifungie Sola ya Watt 120 hapa nyumbani kwetu Simiyu.

Leo ni tarehe 5 Disemba maana yake zimeshapita siku 32 hawajaja kunifungia na jitihada za kuwaambia wanirudishie pesa yangu zimeshindikana. Nimeenda kuripoti Kituo cha Polisi wameniambia hiyo ni Kesi ya Madai na si Jinai, naomba msaada mwenye uzoefu na hii Kampuni.

Na pia nawatahadharisha Watanzania wenzangu hasa waliyo vijijini ambako umeme bado haujafika, wajihadhari na kuigopa kampuni hii kwani ni matapeli makubwa kama ilivyo Kalyanda tu.
Uzi wako nimeupost ktk group la wasapu
 
MIMI NAWATUMIA NAKARBIA MWAKA,BIDHAA ZAO NI ORIJINO KWANZA BETRY ZAO ZINA CIRCUIT BREAKER,CHARGE CONTROLLER PIA POTS ZA USB KWAAJIL YA KUCHAJIA SIM NK.WAKO VIZURI SOLAR ZAO NI FASTA KUCHAJI.NMEWAI KUKOSEA NAMBA YA MALPO WAKANSAIDIA IKAWA POA,KUHUSU UTAPEL HUENDA KUNA PROCESS HUKUFUATA COZ MPK HUTOA MKATABA
 
Mimi nikihitaji umeme wa solar huwa naingia dukani, nanunua vifaa vyote! Namtafuta fundi, anafunga! Naanza kufurahia maisha.

Nimefanya hivyo kama backup ya Tanesco kwenye nyumba yangu, lakini pia nimefanya hivyo kwenye nyumba ya familia huko Usambaani milimani.

Kupitia njia hii, hakuna wa kunitapeli.
 
MIMI NAWATUMIA NAKARBIA MWAKA,BIDHAA ZAO NI ORIJINO KWANZA BETRY ZAO ZINA CIRCUIT BREAKER,CHARGE CONTROLLER PIA POTS ZA USB KWAAJIL YA KUCHAJIA SIM NK.WAKO VIZURI SOLAR ZAO NI FASTA KUCHAJI.NMEWAI KUKOSEA NAMBA YA MALPO WAKANSAIDIA IKAWA POA,KUHUSU UTAPEL HUENDA KUNA PROCESS HUKUFUATA COZ MPK HUTOA MKATABA
Naifahamu kwa sababu niliwahi kuajiriwa hapo kama Loan Officer na baada ya miezi 9 wakanivunjia Mkataba,ni MATAPELI NA MAJIZI kwelikweli,na nikiwa kama Loan Officer nilikuwa napambana na malalamiko ya wateja wengi kutapeliwa na Wafanyakazi wa Kampuni pamoja na bidhaa za Kampuni KUWASUMBUA mara kwa mara,nilishawahi kupigwa fimbo na wateja wamasai fulani Katesh kule baada ya Sola KUWASUMBUA na kushindwa kupata huduma kwa mwezi mzima,hivyo hii ni KAMPUNI YA KITAPELI NA KIJAMBAZI kwelikweli ndio maana kila mwaka inabadilisha majina mara ijiite MOBISOL,mara mwakani ibadilike ijiite ENGIE,na sasa imebadili inajiita MYSOL,mwakani 2023 itajiita CHAUSIKUSOL,ni Kampuni ya KITAPELI tu
 
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nililipia Tsh.183,000 tarehe 3 Novemba mwaka huu kama malipo ya awali ili wanifungie Sola ya Watt 120 hapa nyumbani kwetu Simiyu.

Leo ni tarehe 5 Disemba maana yake zimeshapita siku 32 hawajaja kunifungia na jitihada za kuwaambia wanirudishie pesa yangu zimeshindikana. Nimeenda kuripoti Kituo cha Polisi wameniambia hiyo ni Kesi ya Madai na si Jinai, naomba msaada mwenye uzoefu na hii Kampuni.

Na pia nawatahadharisha Watanzania wenzangu hasa waliyo vijijini ambako umeme bado haujafika, wajihadhari na kuigopa kampuni hii kwani ni matapeli makubwa kama ilivyo Kalyanda tu.
Mimi ni mteja wa Mysol na ninapata huduma kwa wakati kabisa, tena wana namba yao kupiga ni bure kabisa. Phone: 0800 75 5000

Je ni kweli umefanya mawasiliano nao kwa namna yeyote ile? Nafahamu MYSOL wanatoa huduma kwa mteja bure kabisa kwa miaka minne. Huitajiki kulipia chochote. Hebu wasiliana na hii namba yako makao makuu na kumbuka kuwa na namba yako ya mtambo utasaidiwa.
Kama utaweza unaweza kuweka namba yako ya mtambo/malipo DM, na watawasiliana na wewe. au namba yako ya simu.
 
Pole sana
Nasi huku Nyamanoro hii Kampuni imetutapeli,tupo Mahakamani tunafungua Kesi,ni Kampuni ya hovyo hovyo hovyo sana,ni majizi
 
Hii imekuwa trend ya haya makampuni ya umeme mbadala, mimi mwenyewe ninetapelewa 53500 na kampuni ya ZOLA,

Nililipia mwaka 2021 mwezi Wa 7 ili niletewe taa zao, nimekuwa nikipiga simu mpaka leo mzigo haujatoka bandarini,

Bandari imekuwa kichaka cha kujifichia matapeli, inakera sana,.
 
....... Nimeenda kuripoti Kituo cha Polisi wameniambia hiyo ni Kesi ya Madai na si Jinai, naomba msaada mwenye uzoefu na hii Kampuni...
.[/B]
Maana yake polisi washakunja mpunga hapo.

Kwani hiyo hela uliwakopesha?

Kesi ya wizi wa kuaminiwa hiyo
 
Hii Kampuni ya MYSOL naifahamu sana niliwahi kuwa Afisa Mikopo wao,ni MATAPELI NA MAJIZI SANA,mwaka juzi 2021 walimfukuza kazi jamaa mmoja anaitwa Raphael kihuni sana.Mkurugenzi Mkuu wao Godfrey Mugambi akishirikiana na Head wa HR Malaya mmoja anaitwa Veronika Kahama walimfukuza kazi huyo Rafael kihunikihuni akawashtaki Mahakamani kuwadai fidia ya Milioni 300.Ameshawashinda Mahakamani mara mbili lakini Kampuni wanakimbilia kukata Rufaa,imebaki mara moja tu akiwashinda hiyo inatakiwa wamlipe Milioni 300.Sasa hivi matako yanawawasha baada ya kuona Milioni 300 inaenda kuwatoka wameanza kumpigia magoti eti wampe Milioni 100 wayamalize jamaa kagomani Kampuni TAKATAKA,YA KITAPELI NA KIJAMBAZI ndio maana kila mwaka inabadilisha majina mara ijiite MOBISOL, mara ibadili jina ijiite ENGIE,sasa hivi inaitwa MYSOL,najua mwaka huu hauishi itajiita KUMASOL!!!NI KAMPUNI TAPELI TU,mwaka jana 2022 kidogo ife biashara mbaya,nani wa kununua masola yao mabovu wakati Sola nzuri na za Bei rahisi zimejaa mitaani!!!Wananchi iogopeni Kampuni hii kama mnavyouogopa UKIMWI,nawaonya nawaonya nawaonya
 
Back
Top Bottom