haiwezekani kusoma hiyo kitu Kama hujasoma any coz ya mambo ya Mediciene, Sociology au kwa wale wa IT kama umesoma kitu chochote kuhusiana na Health Informatics ndo unaweza soma hiyo kitu.
haiwezekani kusoma hiyo kitu Kama hujasoma any coz ya mambo ya Mediciene, Sociology au kwa wale wa IT kama umesoma kitu chochote kuhusiana na Health Informatics ndo unaweza soma hiyo kitu.
Hiyo mixture unayotaka kutengeneze ni balaa..Mbona ka havina uhusiano kabisa ingawa inawezekana!? Nakushauri degree ya kwanza fanya yoyote inayohusiana na Management af ndo uje upige hy kitu unayotaka manake na yenyewe inahusiana na Management.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.