Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu zangu msiwe na wasiwasi. Jeuri yote hiyo ina mwisho wake. Hivyo ndivyo historia inavyotufundisha na kututia moyo.
Hahahaaaaaaaaah eheeeeeeeeeeeeeeeeeooohooooooooooooooohahaaaaaaaaaaaaaaa
Ngoje nicheke. Mtoto akililia wembe mpe. Chadema you are finished. CCM itashinda kwa zaidi ya asilimia 80 kwa urais. CHADEMA watapata majimbo ya ubunge chini ya sita. Dk. Slaa atapata kura below 20 per cent.
Wewe ndiyo ulikuwa moja wa madereva wa hayo malori ama?
Mnaanza kujifunza kusema ukweli kidogo kwa kukiri "umati mkubwa"!
Hakikisha unamwomba Mungu -muumba wa mbingu na nchi, yule Mungu mwenye haki ambaye alikuwa radhi kulisimamisha jua ili awakomboe watu wake; usije ukaomba kule kwingine kuliko na ulinzi siyo wa Malaika wa ulinzi bali wa majini. Kali zaidi, jana mgombea pale Jangwani alituhakikishia kuwa mchawi hayupo; natumai hakumaanisha alichokuwa anakisema na kama ni kweli. Omba toba kwa ajili ya hili, manake Mungu hapendi watu vuguvugu asije akamtapikaTuwaombee, wako katika wakati mgumu. Kesho nadhani hali itakuwa ngumu zaidi na manung'uniko yatazidi.
......kama ulitmtizama vizuri alikuwa ameunyaka kidogo.
Hahahaaaaaaaaah eheeeeeeeeeeeeeeeeeooohooooooooooooooohahaaaaaaaaaaaaaaa
Ngoje nicheke. Mtoto akililia wembe mpe. Chadema you are finished. CCM itashinda kwa zaidi ya asilimia 80 kwa urais. CHADEMA watapata majimbo ya ubunge chini ya sita. Dk. Slaa atapata kura below 20 per cent.