Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 101
Tanzania bado tunasafari ndefu sana kufikia demokrasia ya kweli.
Kauli aliyoitoa Mkapa kwamba kipindi cha uongozi wakae hakuwa tayari kuwa na Serikali ya Mseto simply b'coz hakuwa tayar kuona Zanzibar ikiwa chini ya Cuf afu nikiwa kwenye process yakupost hi thread mwenzie(Kikwete)anasistiza wapo tayari ila iwapo tu ccm itashika dola.Swali nani anaamua hapa!!Hamna uchaguz huru na wa haki hapo coz washaamua hapo,Sa cjui huo muafaka na serikali ya Mseto maana yake nini.
Kauli aliyoitoa Mkapa kwamba kipindi cha uongozi wakae hakuwa tayari kuwa na Serikali ya Mseto simply b'coz hakuwa tayar kuona Zanzibar ikiwa chini ya Cuf afu nikiwa kwenye process yakupost hi thread mwenzie(Kikwete)anasistiza wapo tayari ila iwapo tu ccm itashika dola.Swali nani anaamua hapa!!Hamna uchaguz huru na wa haki hapo coz washaamua hapo,Sa cjui huo muafaka na serikali ya Mseto maana yake nini.