Nimeshuhudia mtu akikata roho LIVE

Uyo mrembo matata aliekuja mkafunga wote neti ni nani au ndo umemexipirienci mtoa loho live
 
Imenikumbusha ex wangu alivyookoa maisha yangu, she was just alone fighting for my life no friend (ambao ninao wengi sana), No ndugu but it was only her.Nikikumbuka zile moments najikuta nalia kweli ulinipenda sana sana J.

Japo upo na mwanaume mwingine lakini tambua nakuthamini kupita kiasi and i wish nisingekufanyia upuuzi nisamehe sana and i wish you happiness huko uliko and just know niko hapa if you need my help.
Love you!!!
Kwani hapa anakusikia.. Mfate inbobo kwa sim yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imenikumbusha ex wangu alivyookoa maisha yangu, she was just alone fighting for my life no friend (ambao ninao wengi sana), No ndugu but it was only her.Nikikumbuka zile moments najikuta nalia kweli ulinipenda sana sana J.

Japo upo na mwanaume mwingine lakini tambua nakuthamini kupita kiasi and i wish nisingekufanyia upuuzi nisamehe sana and i wish you happiness huko uliko and just know niko hapa if you need my help.
Love you!!!
Daa!,chief mtu kama huyu ulimwacha akaenda hivi hivi,pole lakini ndo maisha,things happens for reason

Sent from Nokia 7 Plus
 
Daah mkuu hapo kwenye funzo Umetoa maneno mazito!! Mungu atusaidie wote katika hili hakuna ajuaye kesho yake..hatunabudi kumwomba mwenyezi Mungu atujalie kila iitwapo leo!!🙏
 
Imenikumbusha ex wangu alivyookoa maisha yangu, she was just alone fighting for my life no friend (ambao ninao wengi sana), No ndugu but it was only her.Nikikumbuka zile moments najikuta nalia kweli ulinipenda sana sana J.

Japo upo na mwanaume mwingine lakini tambua nakuthamini kupita kiasi and i wish nisingekufanyia upuuzi nisamehe sana and i wish you happiness huko uliko and just know niko hapa if you need my help.
Love you!!!
Wanaume bhana sijui tunakoseaga wapi,unakuta mtu Ni mwema kabisa kwako ila ewew sasa mambo unayofanya daah Ni shida.....
Anways mungu atujaalie mwisho mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...
afu huyu alieleta mambo ya oteas ningekuwa namjua hata kwa mganga ningemwendea walah
 
Back
Top Bottom