kisungu
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 788
- 264
Ngoja nikujibu Mdogo wangu, kuna kitu kinaitwa over excitation, ni hali ambayo unakuwa umeijenga juu ya huyo dada sana ni kama unataka kumunyesha maajabu ili akupende kwa kupitia sex, hili tatizo huwa linazidi na baadae utashindwa kabisa kwani kila ukikutana naye utajaribu kufuta makosa ya nyuma. pia unapofanya maandalizi makubwa sana kwenye sex huwa halo hiyo hujitokeza, ni vizuri msijiandae sana yaani mnapanga one week before, itokee tuu either mpo room mnaangalia movie na usimwambie kuwa mnakuja kusex, pia hata kama mtakutana guest basi msiende short time, muende mlale na msianze sex kabisa mpaka usiku wa manane tena asikuanze umuanze wewe kwani akikuanza utaanza tena kuwa na over feelings.
Kitu kingine nachokiona, kwanza huyo dada ameshaliona hilo kama tatizo na pia amekujengea mawazo kuwa kama hutamridhisha atakuacha, hilo ni tatizo kubwa na ni kweli mwisho wa siku atakuonyesha dharau na mtaachana.
Ngoja nikupe ushuuda, nikiwa chuo mwaka wa tatu nilipata kademu ka mwaka wa kwanza, sasa kabla hatujafanya sex ikawa kila mara ananisumbua kuwa anataka tufanye, kwa siku anaweza kunitumia SMS hata kumi kuwa mbona simsikilizi, mimi bado sikuwa tayari ila kwa kuwa nilimpenda tukaenda, kufika chumbani akaanza makeke meengi huku akiniharakisha dah kitu kikagoma kusimama, kama dakika tano tuu akaanza ohoo umenipotezea muda wangu, fanya tuondoke au niondoke zangu, au husimamishi dah nikaendelea kushindwa zaidi, akaamka faster akavaa akaondoka kwa hasira, lile tukio lilidumu kichwani kwa zaidi ya miezi mitano kwani mara ya pili hali ilizidi kuwa mbaya zaidi akawa ananiambia niende hospital eti nina tatizo wakati mimi mwenyewe najijua, kweli nilienda, doctor hakuona tatizo ila akaniambia umepata mshtuko na kisaikolojia hauko fit. Siku ziliendelea mpaka nikawa nasahau kidogo kidogo mwisho nikasahau tukaanza kufanya, ila neno moja ambalo sitasahau aliniambia sasa kama huwezi tutazaaje tukioana, huwa linaniuma mpaka Leo, cha ajabu mm nimeoa na ndoa iko strong na yeye ameolewa ila hajazaa mwaka wa nne huu .
So we relax tuu, na usitumie dawa yeyote ile huna tatizo la nguvu za kiume.
Kitu kingine nachokiona, kwanza huyo dada ameshaliona hilo kama tatizo na pia amekujengea mawazo kuwa kama hutamridhisha atakuacha, hilo ni tatizo kubwa na ni kweli mwisho wa siku atakuonyesha dharau na mtaachana.
Ngoja nikupe ushuuda, nikiwa chuo mwaka wa tatu nilipata kademu ka mwaka wa kwanza, sasa kabla hatujafanya sex ikawa kila mara ananisumbua kuwa anataka tufanye, kwa siku anaweza kunitumia SMS hata kumi kuwa mbona simsikilizi, mimi bado sikuwa tayari ila kwa kuwa nilimpenda tukaenda, kufika chumbani akaanza makeke meengi huku akiniharakisha dah kitu kikagoma kusimama, kama dakika tano tuu akaanza ohoo umenipotezea muda wangu, fanya tuondoke au niondoke zangu, au husimamishi dah nikaendelea kushindwa zaidi, akaamka faster akavaa akaondoka kwa hasira, lile tukio lilidumu kichwani kwa zaidi ya miezi mitano kwani mara ya pili hali ilizidi kuwa mbaya zaidi akawa ananiambia niende hospital eti nina tatizo wakati mimi mwenyewe najijua, kweli nilienda, doctor hakuona tatizo ila akaniambia umepata mshtuko na kisaikolojia hauko fit. Siku ziliendelea mpaka nikawa nasahau kidogo kidogo mwisho nikasahau tukaanza kufanya, ila neno moja ambalo sitasahau aliniambia sasa kama huwezi tutazaaje tukioana, huwa linaniuma mpaka Leo, cha ajabu mm nimeoa na ndoa iko strong na yeye ameolewa ila hajazaa mwaka wa nne huu .
So we relax tuu, na usitumie dawa yeyote ile huna tatizo la nguvu za kiume.