Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
mtani we need more elaboration about this please..
Ni kitu ambayo ipo na huwa inawatokea vijana zaidi ambao bado hawajawa mahiri kwenye mambo yetu haya, kupenda kulikopitiliza ni sawa na wale watoto wa kike mnachat vizuri sana kwa simu sms nk lakini ukionana naye anakuwa speechless au anafanya vitu ambavyo vinakuboa mpaka basi, game hatoi ukimuuliza hivi anajibu hivi basi ni full vituko lakini waweza kuta huko bondeni yeye alishamaliza kitaambo na kaloa chapachapa
Anakuboa mpaka unakasirika ukiondoka tu anazinduka na kukupigia simu anajilaumu na kuapologise sana!! Si yeye maskini wa Mungu ni mapenzi